moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,152 Reaction score 770,264 Sep 19, 2021 #21 Mashimba Son said: Picha ni nzuri sana imependeza na location waliyochagua ya Makumbusho Victoria njia panda ya kairuki hospital imetokelezea.! Click to expand... Unajua isingeonekana hiyo bajaj na ile daladala na kama siyo mwenyeji Dar, unaweza kudanganywa hapo ni Oklahoma
Mashimba Son said: Picha ni nzuri sana imependeza na location waliyochagua ya Makumbusho Victoria njia panda ya kairuki hospital imetokelezea.! Click to expand... Unajua isingeonekana hiyo bajaj na ile daladala na kama siyo mwenyeji Dar, unaweza kudanganywa hapo ni Oklahoma
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 24,688 Reaction score 56,423 Sep 20, 2021 #22 nguvu said: Itakuwa wa nigeria nchini marekani, wanapenda kujiwehusha sana Click to expand... ... hicho kibajaji Marekani sehemu gn?
nguvu said: Itakuwa wa nigeria nchini marekani, wanapenda kujiwehusha sana Click to expand... ... hicho kibajaji Marekani sehemu gn?
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 24,688 Reaction score 56,423 Sep 20, 2021 #23 nguvu said: Itakuwa wa nigeria nchini marekani, wanapenda kujiwehusha sana Click to expand... ... hicho kibajaji Marekani sehemu gn?
nguvu said: Itakuwa wa nigeria nchini marekani, wanapenda kujiwehusha sana Click to expand... ... hicho kibajaji Marekani sehemu gn?
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 57,984 Reaction score 134,131 Sep 20, 2021 #24 prospilla said: Young lunya na maua sama Click to expand... ndio kina nani sasa
ras jeff kapita JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 22,729 Reaction score 34,830 Sep 20, 2021 #25 nguvu said: Wakiwa nchi gani? Click to expand... Hapo bongo angalia daladala,namba za bajaji, na lile gorofa maarufu pale victoria
nguvu said: Wakiwa nchi gani? Click to expand... Hapo bongo angalia daladala,namba za bajaji, na lile gorofa maarufu pale victoria
N niah R I P Joined Sep 26, 2015 Posts 7,018 Reaction score 9,301 Sep 20, 2021 #26 Shadeeya said: Sijajua Mkuu. Click to expand... Zinanzotumia bajaj. Africa na Asia.
L Libertatem Pugnator JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 1,005 Reaction score 1,377 Sep 20, 2021 #27 nguvu said: Wakiwa nchi gani? Click to expand... Hapo ni Victoria/ Makumbusho mkuu
B Bagamoyo Platinum Member Joined Jan 14, 2010 Posts 29,965 Reaction score 34,087 Sep 20, 2021 #28 Mashimba Son said: Picha ni nzuri sana imependeza na location waliyochagua ya Makumbusho Victoria njia panda ya kairuki hospital imetokelezea.! Click to expand... Kwa faida ambao hawajafika Dsm, namalizia ni kitongoji cha Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Mashimba Son said: Picha ni nzuri sana imependeza na location waliyochagua ya Makumbusho Victoria njia panda ya kairuki hospital imetokelezea.! Click to expand... Kwa faida ambao hawajafika Dsm, namalizia ni kitongoji cha Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
babukijana JF-Expert Member Joined Jul 21, 2009 Posts 15,941 Reaction score 20,231 Sep 20, 2021 #29 Shadeeya said: Sijajua Mkuu. Click to expand... Ni bongo mbele kule gari ya Mwenge ileee na kuna chaser ina no za bongo India au SA hamna pengine watafanya ushumbwanda wao huo.
Shadeeya said: Sijajua Mkuu. Click to expand... Ni bongo mbele kule gari ya Mwenge ileee na kuna chaser ina no za bongo India au SA hamna pengine watafanya ushumbwanda wao huo.
Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 15,820 Reaction score 40,327 Sep 21, 2021 #30 Shadeeya said: Mkuu nilisoma sehemu huyo mwanamke ni Mwanamuziki wa Kitanzania anaitwa Maua Sama na hapo walikuwa wanatengeneza video ya wimbo. Click to expand... Acha kujidai uko mbele
Shadeeya said: Mkuu nilisoma sehemu huyo mwanamke ni Mwanamuziki wa Kitanzania anaitwa Maua Sama na hapo walikuwa wanatengeneza video ya wimbo. Click to expand... Acha kujidai uko mbele
mojave JF-Expert Member Joined Apr 30, 2016 Posts 5,570 Reaction score 6,433 Sep 21, 2021 #31 Shadeeya said: Umefanya na mie niangalie vizuri Mkuu. Na hata hayo majengo ni pale ukitokea Moroko kuelekea Mwenge maeneo ya Victoria kama sijapuyanga. Click to expand... utakuwa sawa, hiyo ni maeneo ya makumbusho
Shadeeya said: Umefanya na mie niangalie vizuri Mkuu. Na hata hayo majengo ni pale ukitokea Moroko kuelekea Mwenge maeneo ya Victoria kama sijapuyanga. Click to expand... utakuwa sawa, hiyo ni maeneo ya makumbusho
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 51,106 Reaction score 122,490 Sep 21, 2021 #32 Superbug said: Acha kujidai uko mbele Click to expand... Heee!! Wacha pupa hebu karudie kusoma uelewe.
Superbug said: Acha kujidai uko mbele Click to expand... Heee!! Wacha pupa hebu karudie kusoma uelewe.