moudgulf JF-Expert Member Jan 23, 2017 125,992 691,868 Sep 19, 2021 #21 Mashimba Son said: Picha ni nzuri sana imependeza na location waliyochagua ya Makumbusho Victoria njia panda ya kairuki hospital imetokelezea.! Click to expand... Unajua isingeonekana hiyo bajaj na ile daladala na kama siyo mwenyeji Dar, unaweza kudanganywa hapo ni Oklahoma
Mashimba Son said: Picha ni nzuri sana imependeza na location waliyochagua ya Makumbusho Victoria njia panda ya kairuki hospital imetokelezea.! Click to expand... Unajua isingeonekana hiyo bajaj na ile daladala na kama siyo mwenyeji Dar, unaweza kudanganywa hapo ni Oklahoma
dudus JF-Expert Member Feb 28, 2011 22,130 49,391 Sep 20, 2021 #22 nguvu said: Itakuwa wa nigeria nchini marekani, wanapenda kujiwehusha sana Click to expand... ... hicho kibajaji Marekani sehemu gn?
nguvu said: Itakuwa wa nigeria nchini marekani, wanapenda kujiwehusha sana Click to expand... ... hicho kibajaji Marekani sehemu gn?
dudus JF-Expert Member Feb 28, 2011 22,130 49,391 Sep 20, 2021 #23 nguvu said: Itakuwa wa nigeria nchini marekani, wanapenda kujiwehusha sana Click to expand... ... hicho kibajaji Marekani sehemu gn?
nguvu said: Itakuwa wa nigeria nchini marekani, wanapenda kujiwehusha sana Click to expand... ... hicho kibajaji Marekani sehemu gn?
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Aug 24, 2011 49,238 103,904 Sep 20, 2021 #24 prospilla said: Young lunya na maua sama Click to expand... ndio kina nani sasa
ras jeff kapita JF-Expert Member Jan 4, 2015 19,726 28,281 Sep 20, 2021 #25 nguvu said: Wakiwa nchi gani? Click to expand... Hapo bongo angalia daladala,namba za bajaji, na lile gorofa maarufu pale victoria
nguvu said: Wakiwa nchi gani? Click to expand... Hapo bongo angalia daladala,namba za bajaji, na lile gorofa maarufu pale victoria
N niah JF-Expert Member Sep 26, 2015 7,010 9,259 Sep 20, 2021 #26 Shadeeya said: Sijajua Mkuu. Click to expand... Zinanzotumia bajaj. Africa na Asia.
L Libertatem Pugnator JF-Expert Member Aug 24, 2017 1,006 1,377 Sep 20, 2021 #27 nguvu said: Wakiwa nchi gani? Click to expand... Hapo ni Victoria/ Makumbusho mkuu
B bagamoyo JF-Expert Member Jan 14, 2010 21,319 24,218 Sep 20, 2021 #28 Mashimba Son said: Picha ni nzuri sana imependeza na location waliyochagua ya Makumbusho Victoria njia panda ya kairuki hospital imetokelezea.! Click to expand... Kwa faida ambao hawajafika Dsm, namalizia ni kitongoji cha Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Mashimba Son said: Picha ni nzuri sana imependeza na location waliyochagua ya Makumbusho Victoria njia panda ya kairuki hospital imetokelezea.! Click to expand... Kwa faida ambao hawajafika Dsm, namalizia ni kitongoji cha Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
babukijana JF-Expert Member Jul 21, 2009 13,126 16,033 Sep 20, 2021 #29 Shadeeya said: Sijajua Mkuu. Click to expand... Ni bongo mbele kule gari ya Mwenge ileee na kuna chaser ina no za bongo India au SA hamna pengine watafanya ushumbwanda wao huo.
Shadeeya said: Sijajua Mkuu. Click to expand... Ni bongo mbele kule gari ya Mwenge ileee na kuna chaser ina no za bongo India au SA hamna pengine watafanya ushumbwanda wao huo.
Superbug JF-Expert Member Jan 31, 2018 12,417 30,928 Sep 21, 2021 #30 Shadeeya said: Mkuu nilisoma sehemu huyo mwanamke ni Mwanamuziki wa Kitanzania anaitwa Maua Sama na hapo walikuwa wanatengeneza video ya wimbo. Click to expand... Acha kujidai uko mbele
Shadeeya said: Mkuu nilisoma sehemu huyo mwanamke ni Mwanamuziki wa Kitanzania anaitwa Maua Sama na hapo walikuwa wanatengeneza video ya wimbo. Click to expand... Acha kujidai uko mbele
mojave JF-Expert Member Apr 30, 2016 5,564 6,403 Sep 21, 2021 #31 Shadeeya said: Umefanya na mie niangalie vizuri Mkuu. Na hata hayo majengo ni pale ukitokea Moroko kuelekea Mwenge maeneo ya Victoria kama sijapuyanga. Click to expand... utakuwa sawa, hiyo ni maeneo ya makumbusho
Shadeeya said: Umefanya na mie niangalie vizuri Mkuu. Na hata hayo majengo ni pale ukitokea Moroko kuelekea Mwenge maeneo ya Victoria kama sijapuyanga. Click to expand... utakuwa sawa, hiyo ni maeneo ya makumbusho
Shadeeya JF-Expert Member Mar 12, 2014 48,328 115,336 Sep 21, 2021 #32 Superbug said: Acha kujidai uko mbele Click to expand... Heee!! Wacha pupa hebu karudie kusoma uelewe.
Superbug said: Acha kujidai uko mbele Click to expand... Heee!! Wacha pupa hebu karudie kusoma uelewe.