figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
- Thread starter
- #21
Picha ya mwisho! Baada ya hapo wakafa?
baada ya hapo hamna hiyo kitu tena. imepigwa marufuku na ndo ilikua siku ya mwisho baada ya hapo ukikamatwa ni faini. mia
Picha ya mwisho! Baada ya hapo wakafa?
Sijaua madhara ya kuchimba dawa ni yepi?
Ni kuchafua mazingira? huo uchafu ni environment friendly
Kushambuliwa na wanyama wakali? si lazima kuchimba ktk mazingira hatarishi
Kulinda maadili kwa rika? Haja ikikushika haina adabu maadili unaweka kando
Kuna vyoo vimeandaliwa? ni vya kulipia? nani atavisafisha?kuongeza mzigo kwa msafiri
yameletwa mabasi yenye vyoo ndani? sijayaona
Ukichimba dawa utakamatwa? wanawekwa askari maporini?
Ubongo wangu una maswali na majibu haya, napata shida kuelewa. labda kwa vile Kayumba.