Kajaribu naww ukudondokee, tatizo lenu hamjui jamaa alikuwa na dream ya kuwa raisi tangu akiwa thirties! Hakuna haja ya uwe seneta au gavana au any public servant ili uonekane umejiandaa! Huyo Hillary aliejiandaa alishindwaje? Hoja dhaifu sana ndio maana haishi kumlaumu kila mtu
trump alijiandaa ndio maana alishinda uraisi, he was prepared and he worked so very hard to get there!