Mkuu huo ni mto Kiwira hapo panaitwa KIBWE au "daraja la Mungu" ipo chuo cha Magereza kiwira, It's amazing kwa kweli, nimevuka hapo zaidi ya mara tano. Huo mto maeneo ya huko una maajabu sana kiasi hadi chuo cha magereza kimepiga marufuku wanachuo kufanya shughuli yoyote kwenye mto huo.