Picha ya leo


Dah mwanzoni sikuwa nimeweza kung'amua kwa haraka hivyo...
 

Kwanini wazuiwe Baba V? au kuna chunusi?
 
Last edited by a moderator:
Kwanini wazuiwe Baba V? au kuna chunusi?

Mkuu kuna wanachuo walíkuwa wanafua kwenye mto huo na kuogelea walizama katika namna yenye utata, inasemekana walitabasamu na kuwapungia mkono wenzao na kupotea...
 
Last edited by a moderator:
Aah wapi.! kipoke hakuna mto mkubwa hivyo, hiyo ni Magereza kiwira kuje chuo ukipita Lugombo..

Anhaaaaa......nilishawah kuhadithiwa na bibi huko.Ingawa nilifika mto kiwira pale nakuoga juu last year.
 
Mkuu kuna wanachuo walíkuwa wanafua kwenye mto huo na kuogelea walizama katika namna yenye utata, inasemekana walitabasamu na kuwapungia mkono wenzao na kupotea...
ungajhobha ulo kangi, undilisye fijho gwe nongi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…