Picha ya leo

Mr muhuni

JF-Expert Member
May 26, 2014
1,296
1,259
nimefrah sana nhivi ni kweli au hebu nisaidieni wakuu

umegundua nini kwenye hii picha

 
Hahaahah wale wateja wangu wa Magari huwa wanapenda sana Namba D, Hahahaha au namba mpya!!!!
 
huyo jamaa ni wa mbeya kanunua isuzu direct injection..
 
Kina 50 cent wanapigia picha kwenye ma cadillac,ma range rover,sijui ferrari, ma bugatti, kwa nini mshikaji asipigie kwenye lori lqke. Maisha ndio hayq acheni aishi kitajiri.
 
Tusishangae namba D na gari imechoka inawezekana route anazoenda si nzuri hasa barabara za vumbi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…