Mr muhuni JF-Expert Member May 26, 2014 1,296 1,259 Jan 3, 2017 #1 nimefrah sana nhivi ni kweli au hebu nisaidieni wakuu umegundua nini kwenye hii picha
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,595 215,274 Jan 3, 2017 #2 spurz11 said: nimefrah sana nhivi ni kweli au hebu nisaidieni wakuu umegundua nini kwenye hii picha Click to expand... Huyu mbona kama mwalafyale.
spurz11 said: nimefrah sana nhivi ni kweli au hebu nisaidieni wakuu umegundua nini kwenye hii picha Click to expand... Huyu mbona kama mwalafyale.
Ifumange JF-Expert Member Oct 21, 2016 902 1,068 Jan 3, 2017 #3 Hii Isuzu kichwa ng'ombe namba D nimeipenda
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,503 86,054 Jan 3, 2017 #4 Hahaahah wale wateja wangu wa Magari huwa wanapenda sana Namba D, Hahahaha au namba mpya!!!!
mzaramo JF-Expert Member Sep 4, 2006 6,371 5,174 Jan 3, 2017 #6 Kwanini ukumuuliza huyo uliemtwanga picha hapo?!
LUBEDE JF-Expert Member May 7, 2013 4,312 6,638 Jan 3, 2017 #7 huyo jamaa ni wa mbeya kanunua isuzu direct injection..
The Evil Genius JF-Expert Member Mar 21, 2014 5,464 17,286 Jan 4, 2017 #9 Kina 50 cent wanapigia picha kwenye ma cadillac,ma range rover,sijui ferrari, ma bugatti, kwa nini mshikaji asipigie kwenye lori lqke. Maisha ndio hayq acheni aishi kitajiri.
Kina 50 cent wanapigia picha kwenye ma cadillac,ma range rover,sijui ferrari, ma bugatti, kwa nini mshikaji asipigie kwenye lori lqke. Maisha ndio hayq acheni aishi kitajiri.
kengeledoi JF-Expert Member May 27, 2016 326 230 Jan 6, 2017 #12 Tusishangae namba D na gari imechoka inawezekana route anazoenda si nzuri hasa barabara za vumbi
Blank page JF-Expert Member May 28, 2015 4,729 3,174 Jan 6, 2017 #13 PAGAN said: Mnyakyusa huyo. Imbombo ngafu Click to expand... utiii imbombo jilipo.