Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
Waulize wakazi wa majohe,chanika,buyuni wakuambie shughuli ya wezi wa pikipiki,pikipi ya Tsh 2 mil inaibiwa na AK-47 na ukileta ubishi ndio unaenda kumsalimia sir god,hao jamaa sio wa kucheka nao hata siku moja.Tanzania ni taifa lenye laana, tunaishi ndani ya laana.