so what??
Mbona kama vya tanzania tu sema wamarekani hawawezi kupiga kichwa tofali.
Unapochokoza ni lazima ujue nguvu za umchokozae!!!
i hope unajua unachoongea, maana kama ni uhcokozi USA is the global leader kwenye hilo
anyway, tushabikie vya wenzetu, maana yetu yametushinda