Picha:- Uwanja wa Ndege Songea

Dah ..kunyumba huko!! Hatuna namna tutapanda tu hizi hizi superfeo.. ndio usafiri wetu bwana
 
Kama huu ni uwanja wa ndege. Basi Tanzania tuna viwanja vya ndege kama milioni hivi
 
Lakini si mna timu ya mpira inaitwa Majimaji??
 
wasalimie mgazin,sinai,
 
Sijui kwanini mkoa wetu kimaendeleo unaachwa sana miaka nenda rudi tuko nyuma kimaendeleo japo tunachangia pato kubwa la taifa
 
Nadhani CCM sio tatizo, tatizo ni sisi wananchi
Ok,iawezekana ni sisi wenyewe kivipi mkuu!nisaidie kujua maana inaumiza kuona mikoa mingine maendeleo wako juu sie miaka nenda rudi tuko vilevile
 
Ok,iawezekana ni sisi wenyewe kivipi mkuu!nisaidie kujua maana inaumiza kuona mikoa mingine maendeleo wako juu sie miaka nenda rudi tuko vilevile
Kama mazingira yetu ni mabovu Na tunayafurahia, kwanini tuilaumu CCM tusijilaumu sisi kwa kuainisha shida zetu Na vipaumbele vyetu?
 
Okay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…