Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
[h=1][/h]Written by Mrfroasty (Ufundi) // 09/03/2012 // Habari-Picha // 1 Comment
Wananchi mbali mbali walioshiriki katika Mhadhara wa Kiislamu uliofanyika leo uwanja wa Ijitimai huko Mwanakwerekwe, Mhadhara huo umetayarishwa na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) juu ya kuwahamasisha wazanzibari kutetea nchi yao wakati wa mchakato wa katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakapoanza, Mhadhara kama huo utafanyika kesho hapo hapo jioni, Na asubuhi kutakuwa na mkutano uliotayarishwa na Baraza la Katiba likiwa na lengo la kutoa elimu kwa raia juu ya katiba mpya hapo Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) Ally Saleh ataongoza na huko Wete Pemba Professa Abdul Shareef atakuwepo Chuo Cha Benjamini Mkapa Wete karibuni kwa wingi kwenda kusikiliza na kutoa maoni yenu juu ya katiba mpya itakayoanza hivi karibuni
Wananchi mbali mbali walioshiriki katika Mhadhara wa Kiislamu uliofanyika leo uwanja wa Ijitimai huko Mwanakwerekwe, Mhadhara huo umetayarishwa na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) juu ya kuwahamasisha wazanzibari kutetea nchi yao wakati wa mchakato wa katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakapoanza, Mhadhara kama huo utafanyika kesho hapo hapo jioni, Na asubuhi kutakuwa na mkutano uliotayarishwa na Baraza la Katiba likiwa na lengo la kutoa elimu kwa raia juu ya katiba mpya hapo Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) Ally Saleh ataongoza na huko Wete Pemba Professa Abdul Shareef atakuwepo Chuo Cha Benjamini Mkapa Wete karibuni kwa wingi kwenda kusikiliza na kutoa maoni yenu juu ya katiba mpya itakayoanza hivi karibuni