Picha : Tembo mkubwa duniani!

Mwenyezi Mungu katupa utajiri mkubwa sana kuna nchi zingine waliamua kupelekewa wanyama kama new Zealand hawakuwa hata na panzi jambo la kushkuru lakini watu hawana shukran
 
Una uhakika na usemalo? Naona unataka kupotosha umma..soon nakuja na evidence
 
tukija kwenye ishu ya kugegeda sijui itakuwaje........mmmmmmh
 
bado hawajafika miombo wale watu???....they are coming soon..
 
Nikiona,kusikia au kutafakari neema za nchi hii huwa naishiwa nguvu kabisa maana manyang'au na viongozi wasio na utu wamejimilikisha kila kona ya neema hizo,kwa namna moja au nyingine,inaumiza sana kwa kweli
 
Tuna nchi yenye rasilimali nyingi sana lakini kwa bahati mbaya tunachezeshwa kidali poo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…