Mwenyezi Mungu katupa utajiri mkubwa sana kuna nchi zingine waliamua kupelekewa wanyama kama new Zealand hawakuwa hata na panzi jambo la kushkuru lakini watu hawana shukran
Nikiona,kusikia au kutafakari neema za nchi hii huwa naishiwa nguvu kabisa maana manyang'au na viongozi wasio na utu wamejimilikisha kila kona ya neema hizo,kwa namna moja au nyingine,inaumiza sana kwa kweli