Picha: Prof. Lipumba kuifuta CCM Mtwara

Picha: Prof. Lipumba kuifuta CCM Mtwara

Wade hamshindi lipumba kwa kushindwa uchaguzi.. Lipumba kura zake hazijawahi kufika laki tano tanzania nzima

Acha uongo.

Nenda kachukue book 7, yako lumumba, kwa kuropoka humu jf...

Kama unaona maisha magumu anza kubeti ktk ligi ya FA, au UEFA, kama baadhi ya vijana wenzako!!
Kuliko kufanya kazi hio, mwenyewe unaamini eti unamdhalilisha prof Lipumba...

bet mipira na wewe!!, ndio ajira mpya hizo za ccm.

Watu wenyekupigania ukombozi kama prof lipumba huwa hawatukanwi, huwa wanaungwa mkono....

Acha ulimbukeni.
 
UKAWA LIPUMBAMBOWEMBATIA.....Hadithi hadithi...hadithi njoo.....Bwana Ibrahim bin haruna usitufanye sisi watoto wa jana, wewe ulikuwa mshauri wa Rais wa awamu ya pili na hakuna jipya uliloleta zaidi ya kusababisha mfumuko wa bei tu....sasa hao wanaokuuliza huko ughaibuni waambie ukweli kuwa ulishindwa kuifanyia mema nchi yako lakini kwa sasa kwa kuwa una hamu na madaraka....basi hiyo ndiyo kete yako ya kuwadanganya watanzania.....lakiniiii HAWADANGANYIKI
Prof Ibrahim Lipumba ATANGAZA "OPERATIONI DELETE CCM 2015"

TUTASIMAMISHA MGOMBE MOJA WA UDIWANI, UBUNGE NA URAIS-

Prof Ibrahim Lipumba amese UKAWA wanaendele na majadiliano na tayari kunamafanikio makubwa ili kusimamisha mgombea moja kwa kila ngani kuanzia udiwani, ubunge na urais 2015.

"CCM wanauchukia umoja huu wanaomba usambalatike lkn nawahakikishia safari hii tuko NGANGARI kwel kwel wacha wajisumbue sisi tuanaendele kuimalisha umoja huu ili kulikomboa Taifa."

" Kama hapa TANDAHIMBA Cuf inaonekana inanguvu vyama vyote vitaiunga mkono Cuf na kufanya kampeni kwa pamoja ili kupata mbunge na Halmashauri yote. hivyo hivyo Arusha kama Chadema kinanguvu pale vyama vyote vitaunga mkono"

Prof Lipumba ametangaza ujio wa "OPERATION DELETE CCM 2015 "itakayo ongozwa na yeye mwenyewe pamoja Freeman Mbowe na James Mbatia.

Nimechoka kujibu maswali ninapokwenda kulekebisha chumi za mataifa ya wenzetu, Wananiuliza mbona nchi yako ni masikini sana wkt utaalamu wako sisi tunanufaika nao? Wanashindwa kujua watawala wa Tanzania wana ROHO mbaya hawataki kuwatumia wataalam wa ndani kuondoa umasikini japo wao hawana ujuzi huo.

NJIA PEKEE YA KUJIKOMBOA NI kuDELETE CCM 2015 KWA KUCHAGUA VYAMA VYA UMOJA WA KATIBA

Picha hapo chini ni mkutano wa leo wa Prof Ibrahim Lipumba viwanja vya mashujaa mtwara Mjini, viwanja havikutosha leo.

"Kama watanzania mnahitaji kuondokana na umasikini ni kuikataa, kuichukia na kuiDELETE kabisa 2015 umoja wetu umejipanga kuwaletea maendeleo ya kweli"

Ikiwa unachukia WIZI, UFISADI DHURUMA huwezi kuichagua tena CCM utajipanga kuchagua HAKI sawa kwa wote na Demokrasia na maendeleo na utu ndio wakombozi sahihi kwa sasa.

‪#‎UKAWA

‪#‎UKAWA
 
Acha uongo.

Nenda kachukue book 7, yako lumumba, kwa kuropoka humu jf...

Kama unaona maisha magumu anza kubeti ktk ligi ya FA, au UEFA, kama baadhi ya vijana wenzako!!
Kuliko kufanya kazi hio, mwenyewe unaamini eti unamdhalilisha prof Lipumba...

bura uanze kubet mipira na wewe.

Watu wenyekupigania ukombozi kama prof lipumba huwa hawatukanwi, huwa wanaungwa mkono....

Acha ulimbukeni.

Ukombozi gani utakaoletwa na Lipumba? Chama chake cha Cuf kinachoshiriki serikali ya Zanzibar kimeshawaletea ukombozi gani Wazanzibari?
 
attachment.php


Nchi wanawake ndio wanaochelewesha ukombozi kutoka kwa mkoloni katili ccm.
 
msiwafute kabisa jamani! wasameheni maana mkiwafuta mtaua wategemezi wengi akiwemo mzee farijala!
 
Hapo ndio mwisho wa hicho kikundi cha kihuni "ukawa" chenye watu waliokutana pamoja lakini wana iterest na sera tofauti. Nani atakubali asigombee uraisi? watavurugana na kutukanana na ndio mwisho wao

Ukawa ni tumaini la watanzania kuwatoa ktk utawala wa mkoloni ccm.
 
UKAWA LIPUMBAMBOWEMBATIA.....Hadithi hadithi...hadithi njoo.....Bwana Ibrahim bin haruna usitufanye sisi watoto wa jana, wewe ulikuwa mshauri wa Rais wa awamu ya pili na hakuna jipya uliloleta zaidi ya kusababisha mfumuko wa bei tu....sasa hao wanaokuuliza huko ughaibuni waambie ukweli kuwa ulishindwa kuifanyia mema nchi yako lakini kwa sasa kwa kuwa una hamu na madaraka....basi hiyo ndiyo kete yako ya kuwadanganya watanzania.....lakiniiii HAWADANGANYIKI
Wacha bange zako wewe, tangu lini watawala wa CCM huwa wanapokea ushauri wa wataalamu?
 
laki si pesa uko zamu hapo Lumumba. Usije ukasinzia,utakosa posho.
 
Last edited by a moderator:
UKAWA LIPUMBAMBOWEMBATIA.....Hadithi hadithi...hadithi njoo.....Bwana Ibrahim bin haruna usitufanye sisi watoto wa jana, wewe ulikuwa mshauri wa Rais wa awamu ya pili na hakuna jipya uliloleta zaidi ya kusababisha mfumuko wa bei tu....sasa hao wanaokuuliza huko ughaibuni waambie ukweli kuwa ulishindwa kuifanyia mema nchi yako lakini kwa sasa kwa kuwa una hamu na madaraka....basi hiyo ndiyo kete yako ya kuwadanganya watanzania.....lakiniiii HAWADANGANYIKI

Sasa wewe unaongea UTUMBO wenye kunuka, Mimi nilifikiria Professor Lipumba alikuwa Rais wa Tanzania kumbe alikuwa mshauri wa Rais katika mambo ya uchumi!!???

Sasa kama Kazi ya Lipumba ilikuwa ni kumshauri rais Mwinyi jee unajua maana ya ushauri!? Kawaida ya ushauri unaweza kukubaliwa au kukataliwa!!! Na historia inatuonyesha serikali ya CCM haijawahi kukubali ushauri wowote ambao utakuwa na manufaa na Tanzania na wa Tanzania kwa ujumla.

Rudi nyuma mapendekezo ya majaji kisanga, nyalali na ya hivi karibuni ya warioba! Kwa ufupi kila ambaye ni CCM ana roho mbaya kuliko fisi hasa linapokuja suala litakalo leta manufaa kwa wananchi.
 
Ukombozi gani utakaoletwa na Lipumba? Chama chake cha Cuf kinachoshiriki serikali ya Zanzibar kimeshawaletea ukombozi gani Wazanzibari?

Nenda Zanzibar kawaulize wananchi watakwambia manufaa ya CUF kuwemo katika serikali ya Zanzibar.

Yako mengi ambayo wamenufaika, mimi nitakutajia moja tu, ni hili la bei ya karafuu! Bei ya karafuu sasa ni elfu 23 kwa kilo moja na nusu wakati kabla CUF hawajaingia katika serikali ilikuwa ni elfu 8
 
Nenda Zanzibar kawaulize wananchi watakwambia manufaa ya CUF kuwemo katika serikali ya Zanzibar.

Yako mengi ambayo wamenufaika, mimi nitakutajia moja tu, ni hili la bei ya karafuu! Bei ya karafuu sasa ni elfu 23 kwa kilo moja na nusu wakati kabla CUF hawajaingia katika serikali ilikuwa ni elfu 8

Huyo Laki sipesa anajifanya kipofu wakati anaona.Mpe za uso ndio dawa yake tosha.
 
Duu cdm FUTA DELETE KABISA CCM, CUF FUTA DELETE KABISA CCM 2015!
 
Nenda Zanzibar kawaulize wananchi watakwambia manufaa ya CUF kuwemo katika serikali ya Zanzibar.

Yako mengi ambayo wamenufaika, mimi nitakutajia moja tu, ni hili la bei ya karafuu! Bei ya karafuu sasa ni elfu 23 kwa kilo moja na nusu wakati kabla CUF hawajaingia katika serikali ilikuwa ni elfu 8

bei ya karafuu inatokana na bei iliyoko kwenye soko la dunia . Cuf hawahusiki kwa chochote
 
Wacha bange zako wewe, tangu lini watawala wa CCM huwa wanapokea ushauri wa wataalamu?

Wmeshindwa kupokea rasimu ya warioba tena tume ikisheheni watu mashuhuri sembuse Prof.Lipumba, ccm sikio la kufa
 
Uchaguzi gani waliwapiga?

kama walimuua Mwangosi na bado unasema ameuwawa na Chadema,utaamini nini nikikuambia?ccm umeishajitoa akili kusema na kufanya mambo yasiyokubalika na jamii,kama kweli wewe ni msema kweli niambie Mwangosi aliuwawa na nani
 
Hapo ndio mwisho wa hicho kikundi cha kihuni "ukawa" chenye watu waliokutana pamoja lakini wana iterest na sera tofauti. Nani atakubali asigombee uraisi? watavurugana na kutukanana na ndio mwisho wao

Tatizo mlisha zoea kukariri hali inabadilika sana, miaka ya leo si sawa, watu wamebadilika wanahitaji uongozi bora si wafalme.
 
Lipumba hata akigombea uenyekiti wa mtaa atashindwa.. ana mkosi kama yericko nyerere

Dada unaonyesha unamahaba sana na Yericko Nyerere , sii utangaze nia tuu kwake na kama taratibu za dini yake zinaruhusu akuoe uwe mke wa pili? Usitutoe kwenye mada kwa huba zako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom