Prof Lipumba, leo amefanya mkutano mkubwa lindi.
Ame sisitiza wana lindi wasiichague ccm, kwasababu ccm ndio chanzo kwa watu wa kusini kuwa masikini...
Prof amesisitiza wana lindi kuchagua vyama vinavyo unda ukawa kama mbadala wa ccm....
Amesisitiza hakuna kukubali kuibiwa kura tena, malizaneni na wezi wa kura ktk vituo vya kupigia kura na wala sio mahakamani....
Mabadiliko kwa sasa ni lazima kwa maslhi nchi yetu...
Na ccm ni janga la kitaifa.
#UKAWA NDIO MPANGO MZIMA.
Ame sisitiza wana lindi wasiichague ccm, kwasababu ccm ndio chanzo kwa watu wa kusini kuwa masikini...
Prof amesisitiza wana lindi kuchagua vyama vinavyo unda ukawa kama mbadala wa ccm....
Amesisitiza hakuna kukubali kuibiwa kura tena, malizaneni na wezi wa kura ktk vituo vya kupigia kura na wala sio mahakamani....
Mabadiliko kwa sasa ni lazima kwa maslhi nchi yetu...
Na ccm ni janga la kitaifa.
#UKAWA NDIO MPANGO MZIMA.