Mpwa kwa mtu anayejua kucheza na vitu hivyo bado hujamshawishi. Hapa Kariakoo kuna Hp Used zenye uwezo mkubwa kuliko hiyo, HDD 80 GB, RAM 1 GB, CPU 1 GHZ kwa Tsh 300,000 bado zinadoda dukani ijekuwa hiyo? Kwa ufupi hizo ni kwa wale light duty consumers kama shule ya msingi vinginevyo software mbili na video cd Tatu tu imejaa.
Ungetoa na uwezo wa CPU ndiyo ungewatendea haki wateja wako.