nadhani wengi waliotoa mapungufu ya hii deal wameonyesha upande wa pili wa shilingi na sio tu kukosoa bila lengo!.. Kama ilivyo ada ya jukwaa letu ni kusaidia mawazo juu ya HASI na CHANYA za kununua.. aliyeipenda na anaona inakidhi mahitaji yake kazi kwake ( RAM 512, HDD 60GB and probably runs on Win XP!!! ) Kwa wakati tuliyonao sasa computer base specs ni RAM 2 to 4GB, HDD 100-250 GB ! Hellow mtandao! RAM 6-8 GB na HDD zingine sasa ni Tera Bytes (TB) ambayo ni 2 to the 40th power or approximately a thousand billion bytes (that is, a 1000GB).