Njoo kanisani uombewe. Najua unacho pitia ni kizito ndiyo kinafanya uwe na hasira na majibu ya hovyo yasiyotumia akili kufikiria unajikuta umesha ropoka kwa hasira. Hizi comment zako kwenye nyuzi mbili hizo zina onyesha kabisa kuna kitu kina kusumbua 💯