Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,155
- 34,175
Ndio ni watu wawili tofauti, huyu ni binti mtanzania, mzaliwa wa KondoaWatu wameletewa habari za Husna wanashupalia masuala ya dini tuache kufikiria kwa kutumia masaburi...mimi nina swali moja kuna thread ipo huku jf inasema aliyekufa kwenye ghorofa ni raia wa ethiopia/eritrea na alikuwa kuwait....sasa ni watu wawili tofauti na huyu mtanzania au? Naona kunahitajika ufafanuzi wa kina hapa.
Wewe hujalisoma hilo?