Jamani mbona mi siioni hiyo picha???
Hata mimi siioni hiyo picha. Au ni web-browser yangu? Sidhani, naona itakuwa imechomolewa - kati ya 08:45 na 09:15 AM leo.
Jamani mbona mi siioni hiyo picha???
Kutokana na picha hii inavyojieleza, jk afunge mizigo. Hata hiyo safari ya kesho haina haja kupoteza pesa za walipa kodi. Wakati wa ukombozi wa Tanzania umewadia, na haturudi nyuma!
Shukrani mzee kwa picha,maana tulisikia walitimuliwa na police
"unafikiri nchi hii inaendeshwa na wendawazimu?mkusanyiko wa watu wengi sio ushindi wa chadema kwani kuna watu wanaenda kumsanifu tu slaa kwa ahadi zake za uongo.we unafikiri chama kipya kikitawala nchi hii kutakuwa na maendeleo?si wao watataka kushibisha matumbo yao kwanza na watu wote waliyo wa support ndio watufikirie mimi na wewe na kibaya zaidi watu wanayo support chadema ni wachaga,daima hawashibi.muwe mnafikiria mnacho zungumza,sio upambe tu.unapo zungumzia kodi,sikazi wewe haujawahi kulipa kodi toka uzaliwe.tuache ushabiki,tuangalie ukweli"
Bwana Shida Mwadila!! Kama utaniazima muda wako kidogo tu wa kusoma na kuelewa mambo haya, nadhani utabadilika sana kifikra."unafikiri nchi hii inaendeshwa na wendawazimu?mkusanyiko wa watu wengi sio ushindi wa chadema kwani kuna watu wanaenda kumsanifu tu slaa kwa ahadi zake za uongo.we unafikiri chama kipya kikitawala nchi hii kutakuwa na maendeleo?si wao watataka kushibisha matumbo yao kwanza na watu wote waliyo wa support ndio watufikirie mimi na wewe na kibaya zaidi watu wanayo support chadema ni wachaga,daima hawashibi.muwe mnafikiria mnacho zungumza,sio upambe tu.unapo zungumzia kodi,sikazi wewe haujawahi kulipa kodi toka uzaliwe.tuache ushabiki,tuangalie ukweli"