Lt ColHivi kikwete alikuaga anacheo gani jeshini
Rip. Moringe sokoine. Nakumbuka ulikua wakati wa Easter kama huu, mwaka ule 1984. Sikuamini Masikioyangu. Then kesho yake Tukaenda kukuaga pale Karimjee Hall . I was class 7student at oyster bay primary school. Kina kinje Ngombale, (Ipi malecela RIP) josam warioba. Geoffrey chiduo, mariogo, Jerry Berege, Maria Sarungi, and many more.
The giant slayer[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wasira kumbe tangu zamani yupo hivyo
sanaa mkuu anaonekana janjajanja ni inborn sio ya leoSugu ni west side since day one
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee anatisha tokea ujananiPozi la wasira hatari
Kweli mkuu..ila jamani mzee kingunge alikuwa akimiliki kifaa jamani..!!
Hizo suruali zao nyembamba juu chini zinaachia[emoji23] [emoji23] [emoji23]View attachment 730383 Prof Mwandosya- kushoto kwako
Ila yeye hajinusi, licha ya kunuka rushwa!!Zinanusa wala rushwa
Mkapa junior ambaye wamekutana katoke kamfanya kujulikana kwa senior na kunshawishi mambo mengine ya siasahivi nani alikua nyuma ya mvhakato mpaka magufuli akaingia kwenye system? yani namaanisha kabla hata hajawa mbunge... wazazi wake walikua wanafanya kazi gani? wamewah shika nyadhifa zozote serikalini?
twende kwa mtindo huu...
kabla hujaijua 'a' ilikuwepo 'b' na kabla ya 'b' ilikuepo c, d, na kuendelea sasa chukulia 'a' ndio awe magufuli je b, c, d, na kuendelea atakuwa nani?