Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,524
Te teh teh, jamaa anazo skendo zake nz zipo chini ya kapeti bado anachunguza!
Asie na skendo haishi maisha to the fullest. YOLO. Guys mind your own businesses and scandals.
Te teh teh, jamaa anazo skendo zake nz zipo chini ya kapeti bado anachunguza!
Khaaa makubwa, huyo mpwa wake Le mutuz naye hapanaMange eti alisema yule mmiliki wa homeshoping center anammega sarah, jaman nyie mange,ndoa yake imemshinda anatak kuaribu ya watu
Itakuwa kikiNdo kina nan hao? Nao ni mastaa wa hapa tzania? Afu mbona hatuwajui? Au kuwa na mgahawa now dayz ni ustaa?
Binamu utapigwaaaaa! Umenikumbusha zile iphone 6 zilizogawiwa bure siku ile...... hivi warumi hukialikwa?Mange eti alisema yule mmiliki wa homeshoping center anammega sarah, jaman nyie mange,ndoa yake imemshinda anatak kuaribu ya watu
Looh sio kwa futar ile, binamu ile shughuli ya watu wenye pesa zao mie kapuku naanzaje kualikwa ,sio kwa i phone zile binamu looh au fakeBinamu utapigwaaaaa! Umenikumbusha zile iphone 6 zilizogawiwa bure siku ile...... hivi warumi hukialikwa?
binamu umeona umbeya huko insta mange kanichekesha balaa ingia page uone maumbeya hukoBinamu na wewe umeshasahau principle za umbea?
Acha tu binamu, niliskia mpaka kutetemeka kwa wivu, iphone niliyoitafutia mpaka kibabu cha kizungu ili tu niimiliki na ikashindikana, nikaishia kununuliwa duro, leo hii mutu anagawia watu bureeeeeeeeee (in katarina wa karatuz voice) niliskia hadi kuliaLooh sio kwa futar ile, binamu ile shughuli ya watu wenye pesa zao mie kapuku naanzaje kualikwa ,sio kwa i phone zile binamu looh au fake
Mi mwenyewe nakwambia nilikazana walau nimiliki I phone fake nayo ikashindikana nikaambulia kumiliki infinix, yan nilivyosikia wanagawa simu bure utumbo ulicheza binamu loh watu wanajua kufanya kufuruAcha tu binamu, niliskia mpaka kutetemeka kwa wivu, iphone niliyoitafutia mpaka kibabu cha kizungu ili tu niimiliki na ikashindikana, nikaishia kununuliwa duro, leo hii mutu anagawia watu bureeeeeeeeee (in katarina wa karatuz voice) niliskia hadi kulia
Mbona hatuwafahamu....???Katika familia za mastaa inayonivutia zaidi hapa bongo ni ya hawa wanandoa Raqey Mohamed pamoja na mkewe Sarah, yani familia iko poa sana. Wakati baba akimiliki kampuni ya kupiga picha za mnato pamoja na motion pictures, mama yuko busy na mgahawa wake akifanya yake, yani wanashirikiana vizuri kujenga familia yao hadi raha.
Kitu cha kufurahisha zaidi sijawahi kusikia scandal chafu kwa wanandoa hawa, yani mpaka inatia raha. Wametulia wenyewe mpaka najiulizaga jamani kwani huyo Sarah hana mawifi au wakwe kama naniliuu uwii maana mtaa wa pili kunavyowaka moto utadhan yeye pekee ndo ana ma wifi na wakwe.
Ila inabidi nichunguze vizuri bhana, haiwezekani ndoa ikawa na amani kiasi hiki, ina maana Sarah hana mawifi kama akina Esma? wala wakwe?? Mmh wamejitahid sana hongera zao mungu awajalie maisha marefu, sitaki kesho nije kusikia mmeachana maana na wewe Raqey mambo yako ninayo chini ya carpet ila bado nafanya uchunguzi kwanza
huyo raquey ni mpiga picha maarufu mjini anawapiga picha mastaa wakubwa kama diamond, jide,wema hata waheshimiwa,inshort huyo raquey ni mpiga picha first class mjini, watu wengi wanamfahamu,pia idris kabla ya kwenda BBA alikua anafanya kazi kwa huyu jamaaMbona hatuwafahamu....???