Picha: Mr and Mrs Raqey Mohammed

Mange eti alisema yule mmiliki wa homeshoping center anammega sarah, jaman nyie mange,ndoa yake imemshinda anatak kuaribu ya watu
Binamu utapigwaaaaa! Umenikumbusha zile iphone 6 zilizogawiwa bure siku ile...... hivi warumi hukialikwa?
 
Binamu utapigwaaaaa! Umenikumbusha zile iphone 6 zilizogawiwa bure siku ile...... hivi warumi hukialikwa?
Looh sio kwa futar ile, binamu ile shughuli ya watu wenye pesa zao mie kapuku naanzaje kualikwa ,sio kwa i phone zile binamu looh au fake
 
Looh sio kwa futar ile, binamu ile shughuli ya watu wenye pesa zao mie kapuku naanzaje kualikwa ,sio kwa i phone zile binamu looh au fake
Acha tu binamu, niliskia mpaka kutetemeka kwa wivu, iphone niliyoitafutia mpaka kibabu cha kizungu ili tu niimiliki na ikashindikana, nikaishia kununuliwa duro, leo hii mutu anagawia watu bureeeeeeeeee (in katarina wa karatuz voice) niliskia hadi kulia
 
Acha tu binamu, niliskia mpaka kutetemeka kwa wivu, iphone niliyoitafutia mpaka kibabu cha kizungu ili tu niimiliki na ikashindikana, nikaishia kununuliwa duro, leo hii mutu anagawia watu bureeeeeeeeee (in katarina wa karatuz voice) niliskia hadi kulia
Mi mwenyewe nakwambia nilikazana walau nimiliki I phone fake nayo ikashindikana nikaambulia kumiliki infinix, yan nilivyosikia wanagawa simu bure utumbo ulicheza binamu loh watu wanajua kufanya kufuru
 
Katika familia za mastaa inayonivutia zaidi hapa bongo ni ya hawa wanandoa Raqey Mohamed pamoja na mkewe Sarah, yani familia iko poa sana. Wakati baba akimiliki kampuni ya kupiga picha za mnato pamoja na motion pictures, mama yuko busy na mgahawa wake akifanya yake, yani wanashirikiana vizuri kujenga familia yao hadi raha.

Kitu cha kufurahisha zaidi sijawahi kusikia scandal chafu kwa wanandoa hawa, yani mpaka inatia raha. Wametulia wenyewe mpaka najiulizaga jamani kwani huyo Sarah hana mawifi au wakwe kama naniliuu uwii maana mtaa wa pili kunavyowaka moto utadhan yeye pekee ndo ana ma wifi na wakwe.

Ila inabidi nichunguze vizuri bhana, haiwezekani ndoa ikawa na amani kiasi hiki, ina maana Sarah hana mawifi kama akina Esma? wala wakwe?? Mmh wamejitahid sana hongera zao mungu awajalie maisha marefu, sitaki kesho nije kusikia mmeachana maana na wewe Raqey mambo yako ninayo chini ya carpet ila bado nafanya uchunguzi kwanza

8d8523f12fdee5f2c3d0ba5b8d1cc3cf.jpg


d55f7db97bc5290821500260f1065ef5.jpg
Mbona hatuwafahamu....???
 
Mbona hatuwafahamu....???
huyo raquey ni mpiga picha maarufu mjini anawapiga picha mastaa wakubwa kama diamond, jide,wema hata waheshimiwa,inshort huyo raquey ni mpiga picha first class mjini, watu wengi wanamfahamu,pia idris kabla ya kwenda BBA alikua anafanya kazi kwa huyu jamaa
 
Mbona mke hajajisitiri kwa kufuata maadili ya imani yetu? Hilo ni tatizo kubwa kuliko hata kubwatizana!
 
Back
Top Bottom