Akiongea na wakazi wa eneo la mbezi jimbo la ubungo, katika kijiwe cha kahawa na wa bodaboda kituo cha luguruni-kwembe. Aliwahoji kama apige kura ya ndio au hapana kwy bajeti ya nchi.
Ngoja zije ID zisizo na mwezi tangu ziwe created zichafue hali ya hewa
Baada ya kwenda kawasaidia nini au kauza sura tu.