Picha za ITV zimeonyesha mh Dr Slaa anahutubia watoto wengi kuliko watu wazima! Nilichogundua ni kwamba watu wengi hawajashuhudia kwa macho jinsi helkopta inavyotu na kupaa, pale watoto wenyewe walikuwa wanamwangalia kama vile amalize upesi ili watoto waone jinsi inavyoruka tena! Pole Dr ndio siasa hizo.