Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,163
- 28,809
Naomba tu kuuliza! hivi magamba wachangia kila uzi wapo leo?! Ritz CHAMVIGA, faizafox chriss lukosi Simiyu Yetu and CO wapo kweli?!!
Naomba tu kuuliza! hivi magamba wachangia kila uzi wapo leo?! Ritz CHAMVIGA, faizafox chriss lukosi Simiyu Yetu and CO wapo kweli?!!
Kamanda tunakushukuru sana kwa kutimiza ahadi yako , hakika wewe ni muaminifu .
hakika mbeya chadema yatosha
Naomba tu kuuliza! hivi magamba wachangia kila uzi wapo leo?! Ritz CHAMVIGA, faizafox chriss lukosi Simiyu Yetu and CO wapo kweli?!!
kwa chadema pro KENGEZA, this is their home ground. atakayebisha shauri yake.
but you know why!:! huu ni mji wa pili kwa kuwa na idadi kubwa ya WAVUTA BANGI(according to official statistics). binafdi sioni ajabu
kwa chadema pro KENGEZA, this is their home ground. atakayebisha shauri yake.
but you know why!:! huu ni mji wa pili kwa kuwa na idadi kubwa ya WAVUTA BANGI(according to official statistics). binafdi sioni ajabu
kwa chadema pro KENGEZA, this is their home ground. atakayebisha shauri yake.
but you know why!:! huu ni mji wa pili kwa kuwa na idadi kubwa ya WAVUTA BANGI(according to official statistics). binafdi sioni ajabu
Yeah, limeandikwa Buriani ZZK.Hakika Wana-Mbeya wana mapenzi ya dhati na Chama chao Kitakatifu.....Dahhhh
Hilo nafikiri ni Jeneza la ZZK...
Picha za ITV zimeonyesha mh Dr Slaa anahutubia watoto wengi kuliko watu wazima! Nilichogundua ni kwamba watu wengi hawajashuhudia kwa macho jinsi helkopta inavyotu na kupaa, pale watoto wenyewe walikuwa wanamwangalia kama vile amalize upesi ili watoto waone jinsi inavyoruka tena! Pole Dr ndio siasa hizo.