Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
MKUTANO WA CCM WAFANA MBEYA LICHA YA KUTAWALIWA NA USHABIKI WA KISIASA SUGU AWATULIZA WAFUASI WAKE WASILETE FUJO KWENYE MKUTANO HUO
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Hapa Naibu Waziri wa Elimu Mhe.Mulugo akiongea na wananchi na wapenzi wa ccm huku akielezea sera za chama cha mapinduzi na mikakati yake[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] M/Kiti wa CCM Mkoa wa Mbeya Mhe.Godfrey Zambi(mb),akiwasalimia na kuwahutubia wananchi na wanaCCM wa Mbeya Mjini hiyo jana[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Viongozi mbalimbali wachama walikuwepo mkutanoni hapo[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Vituko vimeanza hapa mkuu wa wilaya Mbeya Norman Sigalla akipokwea na wafuasi wa chadema upande wa pili wa barabara kuu iendayo tunduma[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Mashabiki wa chadema wanamshangilia mkuu wa wilaya hiyo huku wakimfuta na kumwambia njoo huku tuna sera nzuri[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Mkuu wa wilaya huyoo anatimkia kwenye mkutano wao wa ccm[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Anavuka barabara kuelekea mkutanoni baada ya kuwaacha hoi washabiki wa chadema[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Ngoma inogile sasa sugu anapita barabarani wafuasi wa chama cha chadema wanamzuia ashuke hapo kwenye mkutano wa ccm[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Kazi kweli kweli ushabiki wa kisiasa hapa barabara imefungwa kwa muda[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Mashabiki wa chadema wazuia kabisa sugu asipite na ashuke eneo hilo[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Hakika mweshimiwa mbunge wa mbeya mjni Joseph Mbilinyi ameshuka kwa hasira toka katika gari yake ili aongee na wafuasi wa chadema[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Sugu akiwaambia wapenzi na mashabiki wa chaedema jamani naombeni sana waacheni wenzetu wa ccm wafanye mkutano wao kwa amani tusiwazuie tafadhalini sana hebu tuwe wastaarabu kwa hili huku akishangiliwa[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Sasa naombeni njia nirudi zangu home kwani nimechoka nimetoka kikaoni wapendwa acheni fujo naombeni niachieni njia niende[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Jamaa wamekubali wamemwachia njia[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Sugu huyooo anaenda zake[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Matukio yote haya yametokea jana katika kiwanja cha kabwe jijini Mbeya
source Mbeya yetu
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
Baadhi ya wananchi na wapenzi wa CCM Wilaya ya Mbeya Mjini wakiwa katika mkutao huo uliyofanika katika kiwanja cha kabwe mwanjelwa
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Hapa Naibu Waziri wa Elimu Mhe.Mulugo akiongea na wananchi na wapenzi wa ccm huku akielezea sera za chama cha mapinduzi na mikakati yake[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"] M/Kiti wa CCM Mkoa wa Mbeya Mhe.Godfrey Zambi(mb),akiwasalimia na kuwahutubia wananchi na wanaCCM wa Mbeya Mjini hiyo jana[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Viongozi mbalimbali wachama walikuwepo mkutanoni hapo[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Vituko vimeanza hapa mkuu wa wilaya Mbeya Norman Sigalla akipokwea na wafuasi wa chadema upande wa pili wa barabara kuu iendayo tunduma[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Mashabiki wa chadema wanamshangilia mkuu wa wilaya hiyo huku wakimfuta na kumwambia njoo huku tuna sera nzuri[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Mkuu wa wilaya huyoo anatimkia kwenye mkutano wao wa ccm[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Anavuka barabara kuelekea mkutanoni baada ya kuwaacha hoi washabiki wa chadema[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Ngoma inogile sasa sugu anapita barabarani wafuasi wa chama cha chadema wanamzuia ashuke hapo kwenye mkutano wa ccm[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Kazi kweli kweli ushabiki wa kisiasa hapa barabara imefungwa kwa muda[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Mashabiki wa chadema wazuia kabisa sugu asipite na ashuke eneo hilo[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Hakika mweshimiwa mbunge wa mbeya mjni Joseph Mbilinyi ameshuka kwa hasira toka katika gari yake ili aongee na wafuasi wa chadema[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Sugu akiwaambia wapenzi na mashabiki wa chaedema jamani naombeni sana waacheni wenzetu wa ccm wafanye mkutano wao kwa amani tusiwazuie tafadhalini sana hebu tuwe wastaarabu kwa hili huku akishangiliwa[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Sasa naombeni njia nirudi zangu home kwani nimechoka nimetoka kikaoni wapendwa acheni fujo naombeni niachieni njia niende[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Jamaa wamekubali wamemwachia njia[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Sugu huyooo anaenda zake[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="align: center"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: center"]Matukio yote haya yametokea jana katika kiwanja cha kabwe jijini Mbeya
source Mbeya yetu
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]