PICHA: Mkutano wa BAVICHA Bariadi

PICHA: Mkutano wa BAVICHA Bariadi

Nimesikia jana jioni JOKA LA MAKENGEZA aliamua kutumia silaha ya moto kutawanya wananchi waliokuwa wanamzomea huko jimboni kwake. Baada ya kuona hali ni tete aliwasha risasi tatu hewani ili kuonesha utemi wake.
 
Joka lenye makengeza lilipiga risasi hewani likijua likijua wazi kabisa ni kuvunja sharia za nchi wakati lenyewe limesomea sheria
 
Hilo joka limejaa uchawi kila sehemu. Ninajua kuna viongozi wengi wanaishi kwa nguvu za uchawi. Ninaomba wale wote wanaochukizwa na tabia hizi na ambao wangependa kuanzia sasa wachawi waumbuke na wawe chukizo machoni pa watu wote, wani PM.

Katika majeshi vikosi viko vya majini, nchi kavu, angani, na kazi mbali mbali ikiwemo mizinga, habari, hamasa, huduma, mahusiano, propaganda, na specialization za matumizi ya silaha zote.

Twende kazi!. MAKAMANDA WA CHADEMA, SONGA MBELE, TUKO SAMBAMBA NA NINYI HADI TANZANIA IMEKUWA HURU!.
Huyu Joka la Makengeza uchawi uchawi tu ndiyo tegemeo lake kubaki kwenye Jimbo.
 
Mtoa post mwongo mimi naishi bariadi habari katoa kinyumenyume. Uwanja walofanyia mkutano haufki hata mita mia hakujaa hata nusu zaidi vjana wakuwepo weng wao wakiwa baisker zao zilichukua nafasi. Tuonyeshe picha toka juu sio horizotal pic inayoonyesha watu weng kumbe kiduchu. Mmi bnfsi nilikuwepo.
 
Jana zlitokea vurugu makao makuu ya chadema bariad ofc zilizokaribu na mckit wa salunda. Waloanza vurugu n ccm zilipigwa risas kadhaa hewani. Ila kuhusu wing wa watu kwenye mkutano ndugu mtoa post upenz umekuzid.
 
kumbe na chadema wanapenda nyomi? nilikuwa sijui, Zitto akijaza watu kwenye ACT yake mnaponda ila chadomo ikijaza mnasifia. hata hamueleweki nyie viumbe.

Mkuu...siasa za Tanzania Nyomi sio ishu

Watu hawana kazi...wanaenda kushangaa..wengi wao.....

Siasa za Tanzania zinahitaji kuweka misingi at the bottom......kama vile CCM ilivyo
 
mtoa post mwongo mimi naishi bariadi habari katoa kinyumenyume. Uwanja walofanyia mkutano haufki hata mita mia hakujaa hata nusu zaidi vjana wakuwepo weng wao wakiwa baisker zao zilichukua nafasi. Tuonyeshe picha toka juu sio horizotal pic inayoonyesha watu weng kumbe kiduchu. Mmi bnfsi nilikuwepo.
usi lalamike ndugu.hujanyimwa kuleta ushahidi
 
usipende kujitoa ufahamu wewe,imebidi tuweke hizi picha kutokana na msemaji wa chama chenu act kuja hapa na kuanza kupotosha uma. Sasa kwasababu yeye ameogopa kuja hapa akakutuma wewe mjumbe ni vyema ukamfikishia salam
sikuelewi unamaanisha nini kwenye red. nani kakuambia mimi ninachama? sina chama na sihitaji kuwa na chama muda huu. bado nipo nipo kwanza, kama mwana FA vile.
vyama venyewe hivi magumashi tu.
 
wewe ndo umeongea ukweli wa moyoni. natamani na hao chadema wenzako wangeujua ukweli huu.
wengi wa wahudhuriaji kwenye mikutano ni kwenda kupumzika tu baada ya mchana wote kuhangaika kujitafutia riziki.
lakini ninavyojua akina chademakwanza, molemo and their like wakiona hii post yako jiandae kwa matusi.

Mkuu...siasa za Tanzania Nyomi sio ishu

Watu hawana kazi...wanaenda kushangaa..wengi wao.....

Siasa za Tanzania zinahitaji kuweka misingi at the bottom......kama vile CCM ilivyo
 
wewe ndo umeongea ukweli wa moyoni. natamani na hao chadema wenzako wangeujua ukweli huu.
wengi wa wahudhuriaji kwenye mikutano ni kwenda kupumzika tu baada ya mchana wote kuhangaika kujitafutia riziki.
lakini ninavyojua akina chademakwanza, molemo and their like wakiona hii post yako jiandae kwa matusi.

Mkuu...hii sio kwa chadema tu,...hata kwa act na wengine...ndio maana kuna juhudi za makusudi zinafanywa na CHADEMA kwa sasa kupitia viongozi wa Misingi nchini kote

Chama chetu kimeji transform kutoka chama harakati kwenda chama dola

Chama harakati kinategemea sana mikutano ya hadhara na maandamano...Hio sio focus ya CHADEMA kwa sasa...

Kama u mwerevu sana utakuwa umeliona hilo.

Mikutano hii...Freeman alijaza watu sana 2005...kilichotokea kila mtu anajua
 
Mpuuzi kweli wewe! hilo joka la makengeza lilifikaje kwenye ofsi za cdm? au lilichanganyikiwa likadhani lipo Lumumba?

siunaona hata kwenye kujibu umeanza na matusi, ikulu hamwezi kwenda kwa matusi, jazba na kejeli badilikeni
 
Back
Top Bottom