PICHA: Mkutano wa BAVICHA Bariadi

PICHA: Mkutano wa BAVICHA Bariadi

PISTO LERO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,819
Reaction score
1,455


Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA ) Limefanya mkutano mkubwa katika Jimbo la Bariadi,hali iliyomfanya Chenge kuchanganyikiwa.
Viongozi wa BAVICHA Katibu Mkuu wa BAVICHA Julius Mwita na M/kiti Mstaafu wa Bavicha John Heche,wamevunja record leo katika mkutano wa hadhara uliofanywa leo Bariadi.Mkutano huo ulihudhuriwa na maelfu ya watu wengi wakiwa na hasira na nyuso zilizoonesha kuchoshwa na tabia ya wizi inayofanywa mara kwa mara na Mbunge wao.

Wakizungumza katika mkutano huo na kushangiliwa kwa makofi na wananchi walihudhuria kwa Wingi mkutano huo,John Heche nae Katibu Mkuu wa BAVICHA Julius Mwita,walieleza wazi wazi namna Mbunge huyo anavyoshiriki kuliingiza Taifa hili katika matatizo Sugu ya Ufisadi,yanayopelekea Watanzania kubaki masikini kila kukicha.

Inasemekana pia,mahudhurio ya mkutano huo ndio yalipelekea Chenge kuchanganyikiwa na kujiona kwamba hana chake,hata baada ya mkutano kutaka kuwajeruhi viongozi hao kwa risasi za moto.
 

Attachments

  • 10629575_1571902386412035_3543511444662768711_n.jpg
    10629575_1571902386412035_3543511444662768711_n.jpg
    86.4 KB · Views: 2,627
  • 10956395_1571901576412116_1846946374404481741_n.jpg
    10956395_1571901576412116_1846946374404481741_n.jpg
    98.2 KB · Views: 2,130
  • 11169248_1571902153078725_8470126082755604008_n.jpg
    11169248_1571902153078725_8470126082755604008_n.jpg
    100.1 KB · Views: 1,954
  • 11152337_1571901829745424_63767319643974081_n.jpg
    11152337_1571901829745424_63767319643974081_n.jpg
    68.9 KB · Views: 1,811
  • 11174801_1571902523078688_4796740191368535409_n.jpg
    11174801_1571902523078688_4796740191368535409_n.jpg
    102.6 KB · Views: 1,766
  • 11182315_1571902776411996_2105894708622335930_n.jpg
    11182315_1571902776411996_2105894708622335930_n.jpg
    103 KB · Views: 1,880
Ccm kubali yaishe,ndo basi tena mziki wa chadema hamuuwezi tena!
 
Wapi kiongozi mkuu msaidizi Afande Sele
 
Mbona hazipangiliwi vizuri maana zingekkuwa ni za maACT
 
Tumeishachukua RB hapa polisi tunarudi ofisini kauangalia madhara yaliyotokea nitawapa taarifa kamili kama kuna mtu ameumizwa.
 

Attachments

  • 10983318_748201438611831_3979573491037989849_n.jpg
    10983318_748201438611831_3979573491037989849_n.jpg
    19 KB · Views: 1,147
kumbe na chadema wanapenda nyomi? nilikuwa sijui, Zitto akijaza watu kwenye ACT yake mnaponda ila chadomo ikijaza mnasifia. hata hamueleweki nyie viumbe.



Baraza la vijana CHADEMA (BAVICHA ) Limefanya mkutano mkubwa katika Jimbo la Bariadi,hali iliyomfanya Chenge kuchanganyikiwa.
Viongozi wa BAVICHA Katibu Mkuu wa BAVICHA Julius Mwita na M/kiti Mstaafu wa Bavicha John Heche,wamevunja record leo katika mkutano wa hadhara uliofanywa leo Bariadi.Mkutano huo ulihudhuriwa na maelfu ya watu wengi wakiwa na hasira na nyuso zilizoonesha kuchoshwa na tabia ya wizi inayofanywa mara kwa mara na Mbunge wao.

Wakizungumza katika mkutano huo na kushangiliwa kwa makofi na wananchi walihudhuria kwa Wingi mkutano huo,John Heche nae Katibu Mkuu wa BAVICHA Julius Mwita,walieleza wazi wazi namna Mbunge huyo anavyoshiriki kuliingiza Taifa hili katika matatizo Sugu ya Ufisadi,yanayopelekea Watanzania kubaki masikini kila kukicha.

Inasemekana pia,mahudhurio ya mkutano huo ndio yalipelekea Chenge kuchanganyikiwa na kujiona kwamba hana chake,hata baada ya mkutano kutaka kuwajeruhi viongozi hao kwa risasi za moto.
 
kumbe na chadema wanapenda nyomi? Nilikuwa sijui, zitto akijaza watu kwenye act yake mnaponda ila chadomo ikijaza mnasifia. Hata hamueleweki nyie viumbe.
usipende kujitoa ufahamu wewe,imebidi tuweke hizi picha kutokana na msemaji wa chama chenu act kuja hapa na kuanza kupotosha uma. Sasa kwasababu yeye ameogopa kuja hapa akakutuma wewe mjumbe ni vyema ukamfikishia salam
 
.
Chenge damu ya wale wanawake aliowaua kwenye bajaji yao Dar wakielekea airport inamlilia. hatakaa atulize moya hadi anaenda kaburini.
.

Utakuwa she..tani wewe umejuaje hayo
 
Ccm kubali yaishe,ndo basi tena mziki wa chadema hamuuwezi tena!

Yaani Chenge mwaka huu atapata ugonjwa wa moyo na kama si kujiua anaweza kupata heart atak na kufa moja kwa moja
 
Tumeishachukua RB hapa polisi tunarudi ofisini kauangalia madhara yaliyotokea nitawapa taarifa kamili kama kuna mtu ameumizwa.

vurugu mfanye wenyewe alafu mnachukua rb, msitafute umaarufu kupitia damu za watu fanyeni siasa safi kama za Act na CCM
 
Last edited by a moderator:
picha imepigwa kiufundi,ndo maana wanechukua toka angle moja.
watu si wengi kivile
 
Mwl wa act wazamendo yuko wapi afute Uzi wake kwamba chadema haijafanya mkutano bariadi kwa kukosa watu?
 
Mwl kaijage ban inakuhusu ushabik wa act na cdm umezid hapa jukwaan
 
Halafu mwl.kaijage asipopigwa ban mood ntajua mnatumiwa na ACT haiwezekani mtu analeta uzushi humu jukwaa linakosa hadhi kwa habari za udaku
 
Back
Top Bottom