ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,736
- 28,297
Baelezee.mkuu umeongea kwa huruma sana...ndo hivyo ishatokea hatuna jinsi tumlaumu lissu kwa kutushauri vibaya maana hawa wazalendo ni moto wa kuotea mbali au kama vipi tujiunge nao.
Baelezee.mkuu umeongea kwa huruma sana...ndo hivyo ishatokea hatuna jinsi tumlaumu lissu kwa kutushauri vibaya maana hawa wazalendo ni moto wa kuotea mbali au kama vipi tujiunge nao.
Wakiona hivyo presha (banda A) 100%Pro-Chadema wakiona hivi basi matumbo yanawakata.
Wameanza kumpoteza na atapotea maana itv ndio inatazamwa na watu wengi
Wajiharishie marabili kaka?MPARE MNYIKA alikuwa na mkutano leo MWANZA watu waliohudhuria hata kwenye NOWA hawajai.
haki ya nan mtajiharishia mwaka huu
Uzalendo wa kueneza udini,kujisifu,kuchongea wenzake,wa kupokea mirungura ya IPTL.
Yaani nimeshangazwa sana na baadhi ya wanachama wa vyama vya upinzani badala ya kupambana na chama tawala sasa hivi wanapambana na ACT hivi kweli inaingia akilini ndugu zangu GTs
Hapa ndo napata uhakika kuwa kama CDM haitajizatiti pamoja na huo UKAWA kura zitagawanyika kwani badala ya UKAWA kuwa na mpinzani mmoja CCM wana wapinzani wawili yaani CCM NA ACT hii ni mbaya sana kwa vyama vinavyounda huo umoja kwani kupambana na adui wawili inahitaji xtra skills and ability sasa je itawezekana kupambana na ACT NA CCM naona loop hole ileeeee kwa CCM kuwavunja miguu UKAWA