Ukimwi siyo mwenye ni tabia yako tu,hata bila mwenge wewe Kama fuska ni fuska tu,tujali vitu vyetu jamani ni kitu ambacho kinatujengea mshikamano bila kujali itikadi za kisiasa,dini,rangi ama kabila,cha msingi ni marekebisho kama vile kusiwe na mikesha ama magari mengi ama kiasi cha bajeti inayotumika Kama wazungu wanajaribu kuupromote mwenge wa Olympic kwanini sisi tusiujalii huu ambao tunao ?
Hebu angalieni hapa,
Huyu ni mkuu wa mkoa fulani akiupokea mwenge !!
Yaani mkuu wa mkoa hana kazi mpaka anapata muda wa kupokea mwenge !!
Kesho tunaomba utupatie picha ya kuzagaa kwa taka za Kondom zilizotumika hapo nkinga maana mwenge huwa haulali sehemu hivi hivi bila hiyo shughuli
Ukimwi siyo mwenye ni tabia yako tu,hata bila mwenge wewe Kama fuska ni fuska tu,tujali vitu vyetu jamani ni kitu ambacho kinatujengea mshikamano bila kujali itikadi za kisiasa,dini,rangi ama kabila,cha msingi ni marekebisho kama vile kusiwe na mikesha ama magari mengi ama kiasi cha bajeti inayotumika Kama wazungu wanajaribu kuupromote mwenge wa Olympic kwanini sisi tusiujalii huu ambao tunao ?
Gharama zinalipwa na wananchi waliochangia. kulikuwa na haja gani ya kuweka picha 3 zinazofanana??? ungeweka moja tu.
Gharama si ndio kodi zenu?? Alaf picha zako ni kama vile ulipiga ukiwa unavizia au??
Mbio za Mwenge zimepitwa na wakati. Madhara yake ni mengi kuliko mazuri yake. 1. Unawafanya watu waache shughuli zao na kwenda kwenye Mwenge. 2. Mafisadi wa maofisini wanatumia mwanya huo kuiba/kufuja pesa za umma. 3. Watu vijijini wanachangishwa pesa zisizo na sitakabadhi eti ni kwa ajili ya Mwenge. 4. Na ni kweli kuwa katika mikesha ya Mwenge kunafanyika ngono - salama na zisizo salama. 5. Fedha nyingi zinatumika kugharimia magari, posho na gharama zingine za wakimbiza Mwenge. 6. Halafu kuna usanii kuwa Mwenge unazindua au kukagua miradi. Hivi bila Mwenge hiyo miradi haiwezi kufanyika? Mchango wake katika mradi kufanikiwa au kutofanikiwa ni upi? Pendekezo langu ni kuwa Mwenge uwe unawashwa mara moja kwa mwaka, tena katika Mkoa wa Kilimanjaro (Mjini Moshi) halafu upandishwe juu ya Mlima Kilimanjaro. Baada ya hapo ushushwe na kuzimwa na maisha yaendelee. Capt. Nyirenda aliupandisha Mwenge juu ya Mlima Kilimanjaro hakuzunguka nao nchi nzima. Mwenge kwa sasa ni ufisadi. Mwenye kujua faida za Mwenge (kwa sasa) naomba hatujuze hapa.Ukimwi siyo mwenye ni tabia yako tu,hata bila mwenge wewe Kama fuska ni fuska tu,tujali vitu vyetu jamani ni kitu ambacho kinatujengea mshikamano bila kujali itikadi za kisiasa,dini,rangi ama kabila,cha msingi ni marekebisho kama vile kusiwe na mikesha ama magari mengi ama kiasi cha bajeti inayotumika Kama wazungu wanajaribu kuupromote mwenge wa Olympic kwanini sisi tusiujalii huu ambao tunao ?
Usinikere na mifano yako mkuu. Mwenge wa Olympic una maana na TIJA usilinganishe na hizi shughuli za CCM
Mbio za Mwenge zimepitwa na wakati. Madhara yake ni mengi kuliko mazuri yake. 1. Unawafanya watu waache shughuli zao na kwenda kwenye Mwenge. 2. Mafisadi wa maofisini wanatumia mwanya huo kuiba/kufuja pesa za umma. 3. Watu vijijini wanachangishwa pesa zisizo na sitakabadhi eti ni kwa ajili ya Mwenge. 4. Na ni kweli kuwa katika mikesha ya Mwenge kunafanyika ngono - salama na zisizo salama. 5. Fedha nyingi zinatumika kugharimia magari, posho na gharama zingine za wakimbiza Mwenge. 6. Halafu kuna usanii kuwa Mwenge unazindua au kukagua miradi. Hivi bila Mwenge hiyo miradi haiwezi kufanyika? Mchango wake katika mradi kufanikiwa au kutofanikiwa ni upi? Pendekezo langu ni kuwa Mwenge uwe unawashwa mara moja kwa mwaka, tena katika Mkoa wa Kilimanjaro (Mjini Moshi) halafu upandishwe juu ya Mlima Kilimanjaro. Baada ya hapo ushushwe na kuzimwa na maisha yaendelee. Capt. Nyirenda aliupandisha Mwenge juu ya Mlima Kilimanjaro hakuzunguka nao nchi nzima. Mwenge kwa sasa ni ufisadi. Mwenye kujua faida za Mwenge (kwa sasa) naomba hatujuze hapa.
labda ni kweli tupu lakini kuna virahisishi na mwenge ni kimojawapo.Ukimwi siyo mwenye ni tabia yako tu,hata bila mwenge wewe Kama fuska ni fuska tu,tujali vitu vyetu jamani ni kitu ambacho kinatujengea mshikamano bila kujali itikadi za kisiasa,dini,rangi ama kabila,cha msingi ni marekebisho kama vile kusiwe na mikesha ama magari mengi ama kiasi cha bajeti inayotumika Kama wazungu wanajaribu kuupromote mwenge wa Olympic kwanini sisi tusiujalii huu ambao tunao ?
na nyie nao!!yaani mlikosa majina ya kuita sekondari yenu hadi mkaita ulaya!!Wengi walikuwa wanafunzi wa Ulaya secondary.na pia kulikuwa na sare za tishet nyeupe za mwenge.Cha kushangaza makarani wa sensa walikosa hata sare za sensa lakini za mwenge zimepatikana.