Mfumo wetu wa elimu unasikitisha
Mwalimu anafundisha wanafunzi 60 katika darasa moja.
Kwa njia moja tu ya ufundishaji.
Kila mwanafunzi katika lile darasa ana mahitaji yake,uwezo wake,ndoto zake,strength yake na weakness yake.
Na kila mwanafunzi anaelewa kwa nija tofauti wengine kupitia nyimbo wengine simulizi wengine kupitia meditation.
Lakini mwisho wa siku uelewa wao unapimwa kwa mtihani mmoja. mmoja
Mfumo wetu wa elimu unaua ubunifu kwa watoto.
Watoto wanakariri na kumeza material kwa ajili ya kufaulu mtihani na baada ya mtihani wanasahau.
Utaonekana una akili shuleni endapo tu utafanya vizuri darasani.
Lazima tujiulize Why C students are more successful than A students in the real world today...