Picha Mh. Halima Mdee Flora Mbasha Josephat Gwajima on one stage.

Picha Mh. Halima Mdee Flora Mbasha Josephat Gwajima on one stage.

chongchung

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
14,315
Reaction score
45,115
[h=1]KANISA LA UFUFUO LATOA SHUKRANI YA KUPATA HELKOPTA[/h]




Christina Shusho na Flora Mbasha wakiimba sambamba na waumini wengine waliohudhuria misa hiyo.


Flora Mbasha akiimba katika kanisa la Gwajima.


Halima Mdee akisisitiza jambo alipokuwa akiwahutubia waumini wa kanisa hilo.


Mchungaji Gwajima akicheza kwa shangwe.


Rose Mhando akicheza kwa hisia na shangwe kubwa.


Umati wa watu waliohudhuria misa hiyo wakifuatilia kwa makini.


Upendo Nkone akiimba kwa hisia kali.


Gwajima (kushoto) akicheza pamoja na Christina (Kulia).
WAUMINI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima leo wamefanya ibada ya shukrani kwa kupata helikopta.
Kanisa hilo lililopo maeneo ya Kawe jijini Dar limetoa shukrani zake za dhati kwa Mwenyezi Mungu kuwawezesha kumiliki helikopta hiyo ambayo itatumika zaidi kutoa huduma sehemu mbalimbali za Tanzania na duniani kote.
Helkopta hiyo inakadiriwa kugharimu shilingi bilioni 7.5.
Misa hiyo iliyoanza majira ya asubuhi mpaka jioni ilifanyika kwenye Uwanja wa Tanganyika Packers ambapo ilihudhuriwa na waimba injili maarufu nchini wakiwemo; Rose Mhando, Upendo Nkone, Christina Shusho, Flora Mbasha, John Lissu, Boniface Mwaitege, Munishi na wengineo.
Picha/Stori na Gabriel Ng’osha na Shani Ramadhani/GPL



 
4.JPG
 
Najiuliza swali moja: mbona gwajima huku so active kwenye social media kuliko wachungaji wengine?
 
Mh!. Haya makubwa sina imani na hawa manabii ni waongo sana ila moja ni kuwa kila kazi ya mtu aitapimwa tena kwa moto. Acha sarakasi ziendelee tu.
 
Nampenda mdee ni mwanamke jasiri sana nakumbuka enzi za sakata la lulu na kanumba alisimama kidete kumsapot bila kujal mabezo ya jamii by that time niko kitaa ndo nimegraduate afu kula kulala ,imepita miaka 2 limetokea la mbasha na flora still kamsapot flora anaonyesha ni mtu mwenye msimamo akisema ndio ni ndio I like u halima mdee mwanzo nilitaka kuwa mwanasiasa kama wewe ila nimeingia kwenye system imenicorrupt bt still tuko pamoja u still inspire me madame
 
Nampenda mdee ni mwanamke jasiri sana nakumbuka enzi za sakata la lulu na kanumba alisimama kidete kumsapot bila kujal mabezo ya jamii by that time niko kitaa ndo nimegraduate afu kula kulala ,imepita miaka 2 limetokea la mbasha na flora still kamsapot flora anaonyesha ni mtu mwenye msimamo akisema ndio ni ndio I like u halima mdee mwanzo nilitaka kuwa mwanasiasa kama wewe ila nimeingia kwenye system imenicorrupt bt still tuko pamoja u still inspire me madame

Acha kushabikia uzinzi wewe dada au na wewe ni mzinzi
 
Hapo CDM wanazidi kupata uhakika wa choper katika kampeni zao.......
 
Duh! Helcopta yenye thamani ya 7.5 b's..... Mh! Siwatakuwa na kanisa bab kubwa sana? Mwenye picha ya kanisa please.....
 
Kasapoti Kivip? Abapenda watoke nje ya ndoa
 
Duh! Helcopta yenye thamani ya 7.5 b's..... Mh! Siwatakuwa na kanisa bab kubwa sana? Mwenye picha ya kanisa please.....

Kanisa lao ni kubwa sana, wanasalia uwanjani maana hakuna jengo wanaloweza kutosha, ila pia wanafufua wafu
 
nimeamini wapalestina wanaisha duniani ,,, nimeona bendela ,,,,,, i hope hakuna fungamano imani ya halima mdee na chama chake ki sera
 
Nampenda mdee ni mwanamke jasiri sana nakumbuka enzi za sakata la lulu na kanumba alisimama kidete kumsapot bila kujal mabezo ya jamii by that time niko kitaa ndo nimegraduate afu kula kulala ,imepita miaka 2 limetokea la mbasha na flora still kamsapot flora anaonyesha ni mtu mwenye msimamo akisema ndio ni ndio I like u halima mdee mwanzo nilitaka kuwa mwanasiasa kama wewe ila nimeingia kwenye system imenicorrupt bt still tuko pamoja u still inspire me madame

hana lolote hapo kaenda kuomba kura kinyemela tu kwa watu wa kawe na akifanya mchezo mwakani hapiti kawe....
 
Back
Top Bottom