nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
KWELI BANA KAMA HUYU BEBERU MTOA ZAWADI HAPA,SI NDO YULE ANASHIRIKIANA NA CHADEMA KUWAPELEKA KINA YERICKO NYERERE KWENYE MAFUNZO YA UJASUSI UJERUMANI KWA MUJIBU WA MZALENDO MUSIBA?mabeberu wapo wanawashuglia mashoga walio wanunua
Usipokuwa makini unaweza sema kuna laana fulani sehemu.Ama kweli kuwa ccm lazima uwe pungufu kidogo kwanza aise
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Kwahivyo unataka kutuambia kuwa siku hizi CHADEMA wanavaa sare za kijani na njano?Huyo ni chadema huyo.
Mpaka sasa sijaelewa kwanini aliamua kufanya vile...!Aingie kwenye rekodi za dunia za Guiness maana anaweza kuwa ndiye mwanadamu wa kwanza kupanda mti akiwa amelala!