Picha: Mama R. Lowassa akiwa Mafinga Leo

Picha: Mama R. Lowassa akiwa Mafinga Leo

Ocampo four

JF Senior Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
5,789
Reaction score
2,159
Mama Regina Lowassa akiwa na akina mama wa Mafinga, mchana wa Leo. Mama Regina ameendelea kuongea na akina mama wa maeneo tofauti hapa nchini ikiwa ni zaidi ya mikoa 20 hadi sasa aliyotembelea kwa lengo la kuzifahamu changamoto zao kwa undani, kutoa Elimu ya kupiga kura, kuhamasisha watu kujitokeza kupiga kura.

Lakini pia Mama Regina ametumia nafasi hiyo kumuombea Kura mume wake Mhe. Edward Ngoyai pamoja na kuwaombea Madiwa na Wabunge wanaotokana na umoja wa Ukawa.
 

Attachments

  • 1444826563198.jpg
    1444826563198.jpg
    67.4 KB · Views: 3,646
  • 1444826609113.jpg
    1444826609113.jpg
    78.1 KB · Views: 3,592
  • 1444826662144.jpg
    1444826662144.jpg
    106.4 KB · Views: 1,707
  • 1444826730652.jpg
    1444826730652.jpg
    83 KB · Views: 1,688
Hizo costume za kichadema zinampendeza sana ni kivutio tosha si angetengeneza nyingi ili ziingize kipato
 
Huyu mama jamani achekapo tu lile pengo lake aisee linanipa raha mno yaani lioo kama mama yangu mzaz.! Karibu mbeya mama huku wewe na Raisi hamuhitaji kutumia nguvu yoyote maana MACCM tulishayazika kitambo sana.
 
Pia uvaaji wake unaenda na wakati. Tutapata FL anayevaa hadi suruali kama wapiga kura wake vijana (wa kike). Siyo uvaaji wa 80's wa mikanga na vitenge kama hao wachovu wengine ..
 
She is surely a happy one, she and Lowassa wasted alot of their time in CCM of which happiness was not in them..... in few days they look too happy
 
Wapeni raha Lowassa na Mama Lowassa.Wamebebeshwa dhabi na matusi ya watu wengine kwa muda mrefu.Lakini Mungu ajuaye haki na kulipa wema kawainua na sasa njia ni nyeupe.Asante Mungu Kwani umetenda .Amen Amen Amen.Lowassa ni raisi kwa jina la yesu na Mtume.
 
Back
Top Bottom