BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 979
- 2,671
Pichani wa tatu kushoto ni Rais wa Sasa wa Urusi Vladimir Putin, akifatiwa na Rais wa Kwanza wa Msumbiji Samora Machel, wa nne kushoto na Rais wa Sasa wa Zimbabwe Ermason Damuduzo Munangagwa wa tano kutoka kushoto.
Picha hii ilichukuliwa mwaka 1973 kwenye Kambi ya Wapigania uhuru Kaole Bagamoyo.
Putin Alikaaa Tanzania akifundisha Wapigania uhuru Kwa miaka 4 toka mwaka 1974 mpaka mwaka 1977
Picha hii ilichukuliwa mwaka 1973 kwenye Kambi ya Wapigania uhuru Kaole Bagamoyo.
Putin Alikaaa Tanzania akifundisha Wapigania uhuru Kwa miaka 4 toka mwaka 1974 mpaka mwaka 1977