Picha; Kinachoendelea Kigoma ni Aibu Kwa Chadema

Picha; Kinachoendelea Kigoma ni Aibu Kwa Chadema

Ngoja nijikoki....niwe natoa Live update mwenyewe,naona Kurugenzi ya habari CHADEMA imefubaa siku za karibuni....Ila hakuna wa kuisimamisha CHADEMA mpaka. sasa...Chama pekee chenye uwezo wa kuitisha Mkutano wa hadhara asubuhi alfajiri na Watu wakatii na kuacha shughuli zao.
 
Endelea kujifyatua akili....Muulize Zitto Mkuu wa Ngome ya kujimilikisha kwa kujifikirisha...Fataki za CHADEMA...anazifahamu,anajiliwaza upya Ngome ya ACT Iko Zanzibar eti....+255
 
Ngoja nijikoki....niwe natoa Live update mwenyewe,naona Kurugenzi ya habari CHADEMA imefubaa siku za karibuni....Ila hakuna wa kuisimamisha CHADEMA mpaka. sasa...Chama pekee chenye uwezo wa kuitisha Mkutano wa hadhara asubuhi alfajiri na Watu wakatii na kuacha shughuli zao.
Yule Mrema hamna kitu kabisa.... Tokea kampeni yaani hakuna updates mpaka mkutano uishe!!

Hiyo kurugenzi ilikua active enzi zile za Kafulila na Mnyika baadae!! Tokea hapo imelala sana.

Mrema is a liability
 
Yule Mrema hamna kitu kabisa.... Tokea kampeni yaani hakuna updates mpaka mkutano uishe!!

Hiyo kurugenzi ilikua active enzi zile za Kafulila na Mnyika baadae!! Tokea hapo imelala sana.

Mrema is a liability
Kweli kabisa. Mrema amezidiwa Sana.
 
Shida kubwa chadema kwa sasa haieleweki wanapigania nini

Pesa ya ruzuku sio mchezo
Watu wamejenga minyumba yao kwao kama ikulu walahi
Wengine mrie tu!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Chezea mchaga!
Shkamoo Pesa!
 
Pesa ya ruzuku sio mchezo
Watu wamejenga minyumba yao kwao kama ikulu walahi
Wengine mrie tu!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Chezea mchaga!
Shkamoo Pesa!
Majizi makubwa haya!! Hapo hawana dola lakini wanakwapua na wameshindwa kujenga Ofisi
 
Back
Top Bottom