Jamani kwani ukafir ninini? Ninavyojua mimi ukafir ni hali ambayo mtu haamini dini nyingine zaidi ya ile aliyonayo. Muislam ataiwa kafir kwa wakristo na mkristo ataitwa kafir kwa muislam na mpagani atawaita mkristo na muislam makafir, kwakuwa hawaamini upagani. kama maana halisi sio hiyo naomba ufafanuzi.