Picha hii inakukumbusha nini?

kotelyimola

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2015
Posts
1,459
Reaction score
1,509
Kwa upande wangu inanikumbusha nilivyotaka kufukuzwa shule enzi hizo maana nilikutwa na mwalimu wa nidhamu nimevaa sarawiri na hicho kiatu ambacho nilikinunua BATA. Kisa ....


 
Haaaaaa shuka tubonge ndio jina la hicho kiatu
 
Kwa upande wangu inanikumbusha nilivyotaka kufukuzwa shule enzi hizo maana nilikutwa na mwalimu wa nidhamu nimevaa sarawiri na hicho kiatu ambacho nilikinunua BATA. Kisa ....


View attachment 299417

jamani enzi hizo! Memory Q, Raisoni ngazi 4, GF 148 turntable na shati za kubana Tight! Indeed those were the days
 
jamani enzi hizo! Memory Q, Raisoni ngazi 4, GF 148 turntable na shati za kubana Tight! Indeed those were the days
Ila wasichana walituchezea sana enzi hizo. Si kama siku hizi ambapo K zinagawa kama njugu. Enzi hizo Uchagani unaulizwa kama unampenda kimwili au kiroho....
 
Reactions: MTK
jamani enzi hizo! Memory Q, Raisoni ngazi 4, GF 148 turntable na shati za kubana Tight! Indeed those were the days

Mkuu ile turntable Philips walifunga kazi ! Utafikiri imetoka nje kumbe Arusha.
 
Mkuu ile turntable Philips walifunga kazi ! Utafikiri imetoka nje kumbe Arusha.


Wachana na hicho kifaa bhana!! Philips GF 907; super stereo na sorround system ni moja ya vifaa ambavyo nimeng'ang'ana navyo hadi wa leo kwenye archive yangu! hizo nyakati zilikuwa njema sana! watu hatuna pesa nyingi lakini tuko happy tunaenjoy life kwa sana tu.
 
Bugaluu shati slim fit na afro kichwani.
 
Enzi hizo condom ni msamiati usiojulikana kabisa. Ila mimi ni kijana wa miaka ya themanini ukimwi ulishaanza kuongelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…