PICHA:hebu ona tamaa ilivyo mbaya....

PICHA:hebu ona tamaa ilivyo mbaya....

wakyagara wakinyora

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
735
Reaction score
286
utakufa kijana,sio kila kitu udenda unakutoka
 

Attachments

  • 1170650_455601924538577_2058650365_n.jpg
    1170650_455601924538577_2058650365_n.jpg
    62.3 KB · Views: 2,006
Jamaa naye ana kichwa kama nani hiiiiiii!
 
Hahahaaaaaaaaaa,mpaka watu wamenishangaa hapa ofisini
 
Huwa napata raha sana jf!idumu daima! full kucheka hata ka hutaki
 
Mhhh jamaa nae kazidi Kwa na bichwa baya dah bichwa ka wowowoooo hata mimi kabla sijaona picha ya mwisho nilianza kumuonea donge jamaa nilijuwa jimama limepiga mbizi limemwachia jamaa afanye self service
 
Lakini wazee wa kiswahili wanavyojuwa kuzuga hapo utakuta keshazuga duh kijana Wang hujambo? Pole sana nilidhani maji yamekushinda nguvu yanakuzamisha chini ndio nilikuja kukuokoa kumbe uko salama! Haya kijana mi narudi nchi kavu ogelea taratibu kuwa makini mwanangu! Kumbe kimoyoni analaani nimekosa ndundu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom