Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
ninayo digital camera yangu aina ya cannoin na zina picha nilizopoiga ila kitu cha ajabu ni kwamba nikitaka niziangalie na kuzistore kwenye laptiop hazionekani ila kwenye camera zinaonekana kwa yeyote mwenye ujuzi plz naomba anidirect nifanye nini ili niweze kuzistore kwenye laptop