[emoji91][emoji91][emoji91]Habari ninazooendaView attachment 3555861
Kwa sasa Manzese inaonekana nzuri kuliko Tel Aviv.Hiki ni kipigo cha usiku kucha cha makombora ya Iran
Wanapigwa kama mbele yaani wamechokoza nyuki sasa wanaplay Victim card
Na haya yote utasikia walokufa ni watano tu[emoji1787].....Wazee wa kuficha madhara
Hizi picha zimeleak kwa shida sana maana wameondoa live Coverage zote
Israelis no longer receiving proper warnings of Iranian strikes.
Iran has wiped out the entire US THAAD and Patriot radar system in the Gulf using $50k drones. It will cost billions and take a decade to replace.
INCREDIBLE BREAKING NEWS[emoji599]
TEL AVIV TONIGHT: IT'S TOTAL CHAOS[emoji845][emoji91]
[emoji1130]Iranian missiles raining down relentlessly, residential neighborhoods torn apart, buildings gutted, craters in the streets, black smoke everywhere
Direct impacts confirmed, mounting human casualties, severe injuries from shrapnel and debris
View attachment 3555840View attachment 3555841View attachment 3555842View attachment 3555843View attachment 3555844View attachment 3555845View attachment 3555846View attachment 3555848View attachment 3555849
Wacha watwangane kisawasawa. Iran wanadai aliyepewa Urais ndio mwehu kabisa, bora aliyekufa.Hiki ni kipigo cha usiku kucha cha makombora ya Iran
Wanapigwa kama mbele yaani wamechokoza nyuki sasa wanaplay Victim card
Na haya yote utasikia walokufa ni watano tu[emoji1787].....Wazee wa kuficha madhara
Hizi picha zimeleak kwa shida sana maana wameondoa live Coverage zote
Israelis no longer receiving proper warnings of Iranian strikes.
Iran has wiped out the entire US THAAD and Patriot radar system in the Gulf using $50k drones. It will cost billions and take a decade to replace.
INCREDIBLE BREAKING NEWS[emoji599]
TEL AVIV TONIGHT: IT'S TOTAL CHAOS[emoji845][emoji91]
[emoji1130]Iranian missiles raining down relentlessly, residential neighborhoods torn apart, buildings gutted, craters in the streets, black smoke everywhere
Direct impacts confirmed, mounting human casualties, severe injuries from shrapnel and debris
View attachment 3555840View attachment 3555841View attachment 3555842View attachment 3555843View attachment 3555844View attachment 3555845View attachment 3555846View attachment 3555848View attachment 3555849
Alieshiba hamjui mwenye njaa.Israel kachomeshwa na USA anaua watu wake kijinga sana hapo watawadanganya mapimbi kuwa wote walikua kwenye shelter haya hao zima moto wanafanya nini na wametoa macho balaa..
Sijui huwa wanawaza nini kuanzisha vita isiyo na kichwa wala miguu huku wakijua madhara yake ni makubwa sana..
Yaani watu wakae baraza zima wanaoijua nchi yao wakaanzisha mashanbulizi wewe mmatumbi unasema wameanzisha vita haina kichwa wala miguu? Mambo mengine tuwaachie wao ndio wanajua vizuri nini wanataka sisi tuwe watizamaji tu na muda utatoa majibu sahihi.Israel kachomeshwa na USA anaua watu wake kijinga sana hapo watawadanganya mapimbi kuwa wote walikua kwenye shelter haya hao zima moto wanafanya nini na wametoa macho balaa..
Sijui huwa wanawaza nini kuanzisha vita isiyo na kichwa wala miguu huku wakijua madhara yake ni makubwa sana..
Israel wamekufa viongozi wengi ila nyinyi kina mama hamjaambiwa ili kuepuka taharuki.Wameua viongozi wangapi mpaka sasa kama ilivyo kwa gaidi Ayatollah kombora moja tuu akiwa anafuturu tukala kichwa 😂
Wazungu wajinga tu si unaona watu wanavyokufa huko Dunia ya sasa hivi hawatatui migogoro kwa Vita ndio maana Spain walikataa ardhi yao kutumia kuweka base pale nyi Wandengereko mnadhani kila wanachoamua wazungu wapo sahihi ujinga ni ugonjwa mbaya sana aisee..Yaani watu wakae baraza zima wanaoijua nchi yao wakaanzisha mashanbulizi wewe mmatumbi unasema wameanzisha vita haina kichwa wala miguu? Mambo mengine tuwaachie wao ndio wanajua vizuri nini wanataka sisi tuwe watizamaji tu na muda utatoa majibu sahihi.
Sio ujinga wewe ndio utakuwa mjinga zaidi. Watu ni nchi yao wameamua wenyewe kwa utashi wao na interest zao wewe yasiyokuhusu unawaona wajinga? Unajielewa kweli? Tuendelee kukimbisana na ccm huku na wakina Dc Magoti.Wazungu wajinga tu si unaona watu wanavyokufa huko Dunia ya sasa hivi hawatatui migogoro kwa Vita ndio maana Spain walikataa ardhi yao kutumia kuweka base pale nyi Wandengereko mnadhani kila wanachoamua wazungu wapo sahihi ujinga ni ugonjwa mbaya sana aisee..
Hawa wanaoshabikia si ajabu October 29 hata kwenda dukani kununua mkate hawakuweza. Na wengine siku ya tatu wakaanza kulalamika karantini iishe
Ila kwenye vita za wenzetu mnavyojifanya wachambuzi na mashabiki. Heartless cowards
Mimi sipo huko Tura wewe unadhani kila anaechart humu upo nae Mivinjeni..Sio ujinga wewe ndio utakuwa mjinga zaidi. Watu ni nchi yao wameamua wenyewe kwa utashi wao na interest zao wewe yasiyokuhusu unawaona wajinga? Unajielewa kweli? Tuendelee kukimbisana na ccm huku na wakina Dc Magoti.