Elections 2010 Picha: Dkt. Slaa akiwa Nzega

Selous

JF-Expert Member
Jan 13, 2008
1,325
144
Wanaosema Dkt. Slaa vijijjini hajulikani mara wasukuma hawajui kutamka Slaa lakini safari hii kwa yaliotokea Ndala na Nzega. Tusubiri October 31st. Nawashauri CCM propaganda kwa sasa hazina nafasi.........Hasa pale msukuma/mnyamwezi alipojua kuwa ukinunua mafuta ya taa unalipa KODI? Hukumu ya kifo kwa hospitali kukosa dawa?

Angalia mabango, umati ulioambia utulie uache ushabiki na mwishoni watu hawaamini kama wameachwa peke yao.

P1040308.JPG
Bango hilo

P1040321.JPG

Bango lingine
P1040338.JPG
Usikivu ni kitu muhimu

P1040381.JPG
Hawaamini kama Dkt anaondoka
 
Haya ndiyo tunataka mkuu, CCM wabishi sana wanataka evidence ndo waamini sasa wataamini, hakuna malori pale ndala watu kwa mguu wao walisafiri kuona Rais wao.
 
KAMPUNI YA BI SALMA INATAKA UBUNGE NZEGA
NANI ANAROPOKA?
A. HOSPITAL ZISIZO NA DAWA WALA WATALAAMU ZITAKUWA ZA RUFAA

B. KILA PENYE ZIWA NITALETA MERIKEBU
C. SIHITAJI KUWA ZA WAFANYAKAZI
D. VIWANJA VYA NDEGE VITAJENGWA KWA WINGI
E. KUAMBUKIZWA UKIMWI NI KIHEREHERE
F. BAJAJI ZITABEBA WAJAWAZITO
G. MRAMBA NA LOWASSA NI WATU SAFI NA WACHAPAKAZI
BY J.K

Kweli wananchi wameamka, kwahiyo wanaona Rais wao anatania kwamba ahadi zake hazitekeleziki? Labda abadilishe strategy kwa muda uliobaki otherwise imekula kwake.
 
Jk asipokuwa mwangalifu ICC itamweka mkononi kabla ya Desemba mwakani kwa kuuvuruga chaguzi hii......................
 
KAMPUNI YA BI SALMA INATAKA UBUNGE NZEGA

NANI ANAROPOKA?
A. HOSPITAL ZISIZO NA DAWA WALA WATALAAMU ZITAKUWA ZA RUFAA

B. KILA PENYE ZIWA NITALETA MERIKEBU
C. SIHITAJI KUWA ZA WAFANYAKAZI
D. VIWANJA VYA NDEGE VITAJENGWA KWA WINGI
E. KUAMBUKIZWA UKIMWI NI KIHEREHERE
F. BAJAJI ZITABEBA WAJAWAZITO
G. MRAMBA NA LOWASSA NI WATU SAFI NA WACHAPAKAZI
BY J.K

Kweli wananchi wameamka, kwahiyo wanaona Rais wao anatania kwamba ahadi zake hazitekeleziki? Labda abadilishe strategy kwa muda uliobaki otherwise imekula kwake.


Mkuu Dr. alisema hivi "....hizi ahadi anazotoa JK, inawezekana ni tatizo la elimu aliyonayo au.......?"

Pia kuna Bango moja liliandika ....."hizo bajaji 400 za JK kama anaona zitasaidia basi aanze kupanda Salma!......"
 
Duhh! Ndo hali halisi hiyo? Kila la heri ila mjitahidi kuwasaidia wakapige kura tarehe 31 octoba.
 
Jk asipokuwa mwangalifu ICC itamweka mkononi kabla ya Desemba mwakani kwa kuuvuruga chaguzi hii......................


Hapo penye Red Mkuu,
Na kwavile yeye anapenda kuzurula ovyo ovyo kumkamata itakuwa ni rahisi zaidi tofauti na Hussein Al Bashir wa Sudan.
 
Habari ndo hiyo. Mwaka huu lazima kieleweke. Dr. Slaa ushindi ni wako
 
Mkuu Dr. alisema hivi "....hizi ahadi anazotoa JK, inawezekana ni tatizo la elimu aliyonayo au.......?"

Pia kuna Bango moja liliandika ....."hizo bajaji 400 za JK kama anaona zitasaidia basi aanze kupanda Salma!......"
Mkuu, usisahau ameahidi hospitali kubwa kwa kila Jimbo ifikapo 2015.
Ukipiga hesabu ya ahadi za JK, zinafika 76 kwa sasa, ifikapo mwisho wa kampeni zitakuwa labda 100.

There fore: 1 year = 365 days
5 years = 1,825
If number of promises = 100;
Implementation time = 1,825 days

This means, 1,825/100 = 18 days.

kwa hiyo, KJ atatakiwa kutimiza ahadi moja kwa siku 18 tu.

HUU SI UTANI?
 
Mkuu, usisahau ameahidi hospitali kubwa kwa kila Jimbo ifikapo 2015.
Ukipiga hesabu ya ahadi za JK, zinafika 76 kwa sasa, ifikapo mwisho wa kampeni zitakuwa labda 100.

There fore: 1 year = 365 days
5 years = 1,825
If number of promises = 100;
Implementation time = 1,825 days

This means, 1,825/100 = 18 days.

kwa hiyo, KJ atatakiwa kutimiza ahadi moja kwa siku 18 tu.

HUU SI UTANI?

U made ma day mkuuu....Never new uko fast namna hii kufanya mahesabu ya haraka kuona ni jinsi gani kuna vitu havitimiziki....katika miaka 5.
 
this guy (slaa) is smart jamani. mimi nimekumbana naye akiwa m/kiti wa LAAC, hahongeki!
 
Back
Top Bottom