Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Wanaosema Dkt. Slaa vijijjini hajulikani mara wasukuma hawajui kutamka Slaa lakini safari hii kwa yaliotokea Ndala na Nzega. Tusubiri October 31st. Nawashauri CCM propaganda kwa sasa hazina nafasi.........Hasa pale msukuma/mnyamwezi alipojua kuwa ukinunua mafuta ya taa unalipa KODI? Hukumu ya kifo kwa hospitali kukosa dawa?
Angalia mabango, umati ulioambia utulie uache ushabiki na mwishoni watu hawaamini kama wameachwa peke yao.
Bango hilo
Bango lingine
Usikivu ni kitu muhimu
Hawaamini kama Dkt anaondoka
Angalia mabango, umati ulioambia utulie uache ushabiki na mwishoni watu hawaamini kama wameachwa peke yao.
Bango hilo
Bango lingine
Usikivu ni kitu muhimu
Hawaamini kama Dkt anaondoka