Picha: Diamond amnunulia ndinga mpya Zari

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,213
Reaction score
18,455
Mwanamama mrembo na mjasiriamali kutoka pande Za uganda
, Zari the bosslady , kwenye insta story amepost picha akiwa kwenye ndinga yake mpya ikiwa imeambana na caption ya kumshukuru baba T (Diamond) kwa kumuwezesha kuipata gari hiyo mpya.

“ Sante Baba T for the Top up “ aliandika zari kwenye insta story yake .

Mmh shoga angu nae anapenda drama ndo kutuambia anapendwa sana au mxieew , ila hongera mwenzangu sijui unarogaga wapi loh

 
Hizi kiki ipo siku domo ata"rwafi" ili akiki,tupo na shishi na uchebe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…