Mkuu Kibanga!
Hapa umeua kabisa mkuu. Yaani licha ya TBCCM&TBC Radio/ATV&AR na ABOOD BUS kusomba watu, na kupiga kambi siku 8 mkoani Morogoro, Wasanii, Matusi na mambo mengine, watu walio hudhuria ndio wale? Lazima MAGAMBA wakauane Lumumba mwaka huu.
2015 MAGAMBA chali. Hata wang'oe watu kucha na macho, imekula kwao.