PICHA: Compare and contrast - Mwanza and Morgoro

Kwani hii yote miwili ilikuwa mikutano ya siasa? maana naona mwingine kama ulikuwa mkutano wa siasa na lingine tamasha la wanamuziki.

Ukiangalia picha utakuta wazungumzaji wa upande mmoja wa wanaongea kitu kwa hisia na wasikilizaji wanaonyesha ni watu wazima wanaonekana kusikiriza na kushirikisha akili zao kwa yale yanayozungumzwa. wakati picha za kijani inaonekana watu watoamaada wakijaribu kuwafurahisha watoto ambao ni wahangwa watarajiwa
 
CCM mbona bado nape kafanye kazi, the work is still too far from over, your propagada has not changed the minds of the pipo, kazi ipo
 
Mkuu Kibanga!

Hapa umeua kabisa mkuu. Yaani licha ya TBCCM&TBC Radio/ATV&AR na ABOOD BUS kusomba watu, na kupiga kambi siku 8 mkoani Morogoro, Wasanii, Matusi na mambo mengine, watu walio hudhuria ndio wale? Lazima MAGAMBA wakauane Lumumba mwaka huu.

2015 MAGAMBA chali. Hata wang'oe watu kucha na macho, imekula kwao.
 
Magamba Kinana na Gamba Nape wanaelewa kuwa idadi ndogo ya watu waliopata ni vishirt na elfu mbilimbili ambao ni mabalozi wa nyumba 10 huko moro na usafiri +WASANII,gharama sh.88ml,CHADEMA gharama ni spika na gari la matangazo sh.laki 8 na Idadi ya kutisha ya watu.KINANA NI KIONGOZI WA KITAIFA KTK CHAMA,akina wenje ni Wabunge.CDM IMEFUNIKA.
 
chama pendwa CHADEMA, kipo mioyoni mwa watu
 
Kwa mtazamo wangu huyo jamaa aliyevaa kata 'K' anatia aibu ile mbaya. Haya ndiyo maadili mabovu tunayoyapiga vita. Watoto wetu wanajifunza nini kama chama cha siasa kinaweza kuruhusu hili? Watoto wetu bila shaka wataona inakubalika.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kuna tofauti kubwa kati ya siasa na usanii.
 
Kuna mkuu mmoja anaitwa Chuki alikuwa anaeleza kwa uhakika kwamba research yake inaonyesha kwamba CHADEMA imechokwa wala watu hawana muda wa kupoteza kuwasikiliza, natamani apitie huu uzi akjiridhishe na pengine akabadili conclusion ya finding zake.

Picha inaongea zaidi ya maneno asante sana mkuu wangu Kibanga
 
tofaut nayoona ni kua wengi ktk mkutano wa mz ni raia wa kawaida na wako makin kuskiza kinachoongelewa na pia wamevutwa na si kingine bali matakwa yao ya kusikiliza kinachosemwa iwe kwa kuwaunga mkono au vinginevyo akat huo wa moro asilimia kubwa ni wanifaika na raia wachache wamevutwa na Diamond.
mtazamo wangu
 
Ina maana pamoja na kusomba watu kwenye malori na mabasi lakini wameshindwa kujaza uwanja? Kweli hawa jamaa wameshaelekea kibla... Lakini leo Jangiri limejidhalilisha sana....
 
kinana vs wananchi waliopewa buku buku za vocha!
kinana: ndugu wananchi tumewaletea wasanii wengi sana je CHADEMA wanaletaga?
wananchi:hawaletagi!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee

kinana: kidumu chama cha mapinduz

wananchi:kidumu chama tawala
kinana;ccm imewaleta marais wa china ,marekan, je CHADEMA wamemleta nani?
wananchi:hawajaleta yeyote!
kinana: ccm oyeeee!

wananchi😱yeeeee
kinana:ndugu wananchi rais ni handsome au sio handsome
wananchi:handsome!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
 
CCM badala ya kuwatetea wananchi wanazidi kuwalalamikia CHADEMA chama tawala zingatieni kilio cha watu na wanafunzi kufeli na kuondo umaskini si kulalama tu na kupambana na CHADEMA chama makini inatakiwa kuwakomboa watu wake
 
kinana vs wananchi waliopewa buku buku za vocha!
kinana: ndugu wananchi tumewaletea wasanii wengi sana je CHADEMA wanaletaga?
wananchi:hawaletagi!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee

kinana: kidumu chama cha mapinduz

wananchi:kidumu chama tawala
kinana;ccm imewaleta marais wa china ,marekan, je CHADEMA wamemleta nani?
wananchi:hawajaleta yeyote!
kinana: ccm oyeeee!

wananchi😱yeeeee
kinana:ndugu wananchi rais ni handsome au sio handsome
wananchi:handsome!
kinana: ccm oyeeee!
wananchi😱yeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…