Katika mikutano ya kampeni za kuwanadi wagombea wa serikali za mitaa, CCM iko na Hali mbaya Arumeru. Imefika hatua wameshindwa kufanya mikutano sasa wanapitia nyumba kwa nyumba wakigawa sukari kuomba kura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.