Picha: Ajali basi la New Force Morogoro

Ac
Acha imani za kichawi chawi mkuu nina miaka 17 napita njia hiyo huo ni uongo
 
Hakikisheni mnaoga vzr mkitoka guest cku za safari
 
Umesema vema hili tatizo linajulikana sana.. Watu wanaosimamia barabara Morogoro wamejisau.. Kazi ya ukarabati haifanyiki ipasavyo..
 
Sijaongelea uchawi, jiografia ya eneo la mindu lina miti mingi ambayo hupelekea mvua kubwa kunyesha.
Miti ipi pale mkuu ni kichaka kile tu na hakuna kona pale kuna matuta 2 moja ni kwenye pale wanapouza visamaki na wanakaaga trafic
 
Alikuwa speed gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…