Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,832
- 15,032
I hope that's your thingUkimpenda mtu kwa dhati hauhitaji kufundishwa nini umwambie or nini umfanyie mwenzio....Feelings zako ndio driver wa kila kitu....Zipo couple nyingi sana zinatukana na kudundana balaa but wako very happy na hawaachani....Wengi wanaojifunza mapenzi kupitia makala za watu wengine ndo hawadumu katika mahusiano...Acha vitu viende naturally, kama kutukanana ITS YOUR THING go ahead and do it, as long as mpo comfortable with each other..