jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,196
- 1,940
Kwa hiyo ndio umemshauri nini sasa? Watanzania bhana. Mpe mbadala wa canon.budget yako ikoje ila nakushauri achana na canon zitakusumbua sana
Kwa hiyo ndio umemshauri nini sasa? Watanzania bhana. Mpe mbadala wa canon.budget yako ikoje ila nakushauri achana na canon zitakusumbua sana
Hizi zinafaa kwa matumizi ya mmoja mmoja, yaani kama kwa bosi ofisini au nyumbani.KYOCERA au XEROX ila bei zimechangamka sana
Labda kama unanunua used hakaf ukakosa mafundi wa ukweli lazma useme hivobudget yako ikoje ila nakushauri achana na canon zitakusumbua sana
Spare zake ni ghaliHizi zinafaa kwa matumizi ya mmoja mmoja, yaani kama kwa bosi ofisini au nyumbani.
Ir2520 ni ya kiofisi au kikazi zaidi kama stationery na ina option ya kuwa network printer.
Weka mawasilianoNa kwa wale wote wanao hitaji services za photocopier na printer afrotech ndo suluhisho