kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,518
- 7,335
Philipo Mwakibinga, (sijajua anatoka taasisi gani) amewajibu Maaskofu wa KKKT juu ya waraka waliotoa huku akiwatuhumu kutumwa na CHADEMA.
Amesema waraka huo waliutoa siku moja baada ya waraka wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kutoa waraka wake na kusema ulianza kuasambazwa na Godbless Lema.
Pia waraka huo umefanana kwa mambo mengi na waraka uliotolewa na Freeman Mbowe na kusema waraka huo utakua umeandaliwa na CHADEMA ila Maaskofu walitia saini tu.
Pia amesema maaskofu hao walitakiwa kuelezea mambo wanayofanya kutokana na michango na misamaha ya kodi wanayopata na sio kutoa waraka wa kuikosoa Serikali pekee.
Huyo mangi shoo mmachame amegeuza Kkkt branch ya chadema. War aka wa maaskofu wa Kkkt umebeba umbra name uongo wrote kwenye propaganda za chadema. Kwa mfano uzushi kuhusu miilii inayookotwa coco beach. Serikali imetoa taarifa kwamba hao so watanzania name hakuna mwili wowote umehusishwa au kudaiwa no wa mtanzania. Serikali ambayo imefanya makubwa kupambana na ufisadi na uzembe na kufanya mambo makubwa kuhusu maendeleo haikosi maadui ambao mmojawapo no askofu shoo akiwa amejificha kwenye JoJo lake LA kanisa.