Philip Mpango ana anything special?

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,870
Kabla hajateua baraza la Mawaziri..wengine tulishauri humu Magufuli awe makini mno na waziri wa Fedha atakaemteua.

Sababu waziri wa fedha na mipango ndo tunaweza kusema anakuwa in charge kwenye uchumi

Sasa Magufuli akamteua Phillip Mpango, binafsi nilijizuia kusema chochote hadi alete bajeti yake ya kwanza tuione

Baada ya kuleta hii bajeti ambayo binafsi naiona ni bajeti ya kuongeza umasikini.

Kwa kuongeza kodi kila sehemu na kodi zingine za ajabu ...kama vile kuwakomoa watu.

Na kuinyima serikali mapato, mfano ile ya wanaotaka kuweka majina kwenye magari

Kutoka milioni 5 hadi 10 kiasi karibu kila alieweka mwanzo hataki tena...wakati wangepunguza si ajabu watu maarufu zaidi wangejitokeza na serikali kupata zaidi.

Achilia mbali ile sheria ya ajabu na aibu ya kutaka kumfunga mtu asipodai risiti.

Na mengi tu ya kushangaza...kodi ya gesi kuongezwa.Ushuru wa mbuga za wanyama kuongezwa na kadhalika.

Swali ambalo bado najiuliza ni je huyu Philip Mpango ni mtu sahihi 'ku run the economy'?

Je, ana chochote special kipya ambacho tunaweza sema atasaidia kuitoa hii nchi na kuipeleka mbali?

Hasa kwa masuala ya uchumi?

Binafsi namuona 'hamna kitu'....ubunifu hakuna.....na sitashangaa uchumi wa nchi ukiyumba zaidi kwa maamuzi yake.

Bajeti yake ni kama 'one of the worst'
hakuna 'new measures'
hakuna ubunifu mpya
hakuna mbinu za ku boost 'new economy'

Je, nyinyi mnamtazamaje huyu Philip Mpango?
 
Huyo sababu hana jimbo wala watu wanaowajibika kwake anakuwa kama ameshuka jana toka sayari ingine! Alichofanya kwa jeuri ya watanzania! Atashangaa ile kodi ya magari eti wapate 16b atashangaa wote wanabandika number zao za kawaida! Hana ubunifu ila ana roho mbaya na roho ya kwa nini! Amezidi kuongeza umasikini na wala bajeti haitafikiwa labda atumwe akatembeze bakuli! Haitekelezeki!!! Asubiri aone go slow toka kwa wananchi!!
 
Huyu ndio anaempoteza magu kwenye mambo ya uchumi kwani anajulikana ni ktk pioneers wa Sera za free mkt tokea WB mpk alivorudi tz lkn kwa magu anajifanya ni si mbepari ila atakuja ingiza nchi kwenye crisis kubwa ya kiuchumi na atajuta
 
Kabla hajateua baraza la mawaziri..weghine tulishauri humu Magufuli awe makini mno
na waziri wa Fedha....atakaemteua...
Sababu waziri wa fedha na mipango ndo tunaweza kusema anakuwa in charge kwenye uchumi

Sasa Magufuli akamteua Phillip Mpango......binafsi nilijizuia kusema chochote hadi alete bajeti
yake ya kwanza tuione

Baada ya kuleta hii bajeti ambayo binafsi naiona ni bajeti ya kuongeza umasikini
kwa kuongeza kodi kila sehemu na kodi zingine za ajabu ...kama vile kuwakomoa watu
na kuinyima serikali mapato....mfano ile ya wanaotaka kuweka majina kwenye magari

kutoka milioni 5 hadi 10 kiasi karibu kila alieweka mwanzo hataki tena...wakati wangepunguza
si ajabu watu maarufu zaidi wangejitokeza na serikali kupata zaidi.....

Achilia mbali ile sheria ya ajabu na aibu ya kutaka kumfunga mtu asipodai risiti......

Na mengi tu ya kushangaza...kodi ya gesi kuongezwa
ushuru wa mbuga za wanyama kuongezwa na kadhalika....


Swali ambalo bado najiuliza ni je huyu Philip Mpango ni mtu sahihi 'ku run the economy'?

Je ana chochote special kipya ambacho tunaweza sema atasaidia kuitoa hii nchi na kuipeleka mbali?
hasa kwa masuala ya uchumi?

Binafsi namuona 'hamna kitu'....ubunifu hakuna.....na sitashangaa uchumi wa nchi ukiyumba
zaidi kwa maamuzi yake......

Bajeti yake ni kama 'one of the worst'
hakuna 'new measures'
hakuna ubunifu mpya
hakuna mbinu za ku boost 'new economy'

Je nyinyi mnamtazamaje huyu Philip Mpango?


Tatizo sisi WatanZania ni watalaamu kila kitu, hata kama jambo hatulifahamu na hatuna utalaamu nao kwa sababu siyo fani yetu lkn bado unataka kujifanya watalaamu na wachambuzi, jifunzeni kwa Wazungu ambao siku zote mnajaribu kuwaiga ingawaje hamuwaelewi, Mzungu kama jambo halifahamu atakwambia ,,I can not talk about/ discuss about that, because I have no idea ..." sasa wewe nina uhakika siyo Mchumi na wala abc za Uchumi achilia mbali hata jinsi Bajeti ya nchi inavyotengenezwa lkn unakuja hapa unataka kuleta uchambuzi wa Kiuchumi, kwa nini tuko hivi?

Waziri Mpango(PhD) ni mtalaamu wa uchumi, amefanya kazi mpaka IMF alikuwa mchumi wa IMF, kwa nini usimpe muda afanye anavyonuia kufanya halafu uje umuhukumu kwa matokeo ya kazi yake?
Bajeti hata haijaanza kutekelezwa lkn tayari unakuja na ukosoaji kwamba ameshindwa wkt wewe hata abc za uchumi hauna, hii ni ajabu sana, una haraka gani? Ni Waafrika tu ndiyo tuko hivi sijui ni kwa nini?
 
Huyu ndio anaempoteza magu kwenye mambo ya uchumi kwani anajulikana ni ktk pioneers wa Sera za free mkt tokea WB mpk alivorudi tz lkn kwa magu anajifanya ni si mbepari ila atakuja ingiza nchi kwenye crisis kubwa ya kiuchumi na atajuta

Mimi nimejiuliza anapokea 'orders' kutoka kwa Magu bajeti iweje?
au ni yeye yuko full in charge?

manake kuna vitu ni aibu kwa mtu kama yeye kuvleta kwenye bajeti na kavileta...
 
Huyo sababu hana jimbo wala watu wanaowajibika kwake anakuwa kama ameshuka jana toka sayari ingine! Alichofanya kwa jeuri ya watanzania! Atashangaa ile kodi ya magari eti wapate 16b atashangaa wote wanabandika number zao za kawaida! Hana ubunifu ila ana roho mbaya na roho ya kwa nini! Amezidi kuongeza umasikini na wala bajeti haitafikiwa labda atumwe akatembeze bakuli! Haitekelezeki!!! Asubiri aone go slow toka kwa wananchi!!

Maamuzi yake ni ya kushangaza
 
He is the one who architect the whole agenda ndio maana magu akamteua mapema kumleta mapato wakajua kawin lkn at the end VAT Zao za Bandar zikapeleka mizigo iende Beira
Mimi nimejiuliza anapokea 'orders' kutoka kwa Magu bajeti iweje?
au ni yeye yuko full in charge?

manake kuna vitu ni aibu kwa mtu kama yeye kuvleta kwenye bajeti na kavileta...
 
Tatizo sisi WatanZania ni watalaamu kila kitu, hata kama jambo hatulifahamu na hatuna utalaamu nao kwa sababu siyo fani yetu lkn bado unataka kujifanya watalaamu na wachambuzi, jifunzeni kwa Wazungu ambao siku zote mnajaribu kuwaiga ingawaje hamuwaelewi, Mzungu kama jambo halifahamu atakwambia ,,I can not talk about discuss about it, because I have know idea ..." sasa wewe nina uhakika siyo Mchumi na wala abc za Uchumi achilia mbali hata Bajeti ya nchi inavyotengenezwa lkn unakuja hapa unataka kuleta uchambuzi wa Kiuchumi, kwa nini tuko hivi?

Waziri Mpango(PhD) ni mtalaamu wa uchumi, amefanya kazi mpaka IMF alikuwa mchumi wa IMF, kwa nini usimpe muda afanye anavyonuia kufanya halafu uje umuhukumu kwa matokeo ya kazi yake?
bajeti hata haijaanza kutekelezwa lkn tayari unakuja na ukosoaji kwamba ameshindwa wkt wewe hata abc za uchumi hauna, hii ni ajabu sana, ni Waafrika tu ndiyo tuko hivi sijui ni kwa nini?
Ww nae sio lazima mtu awe mchumi ndio ajue budget ni mbovu kuna vitu basic katika uchumi ambavyo mtu anaweza akaelewa sio lazima awe mbobevu kwenye uchumi
 
Bajeti zilizopita zote zilikuwa zinaongeza kodi ya petroleum na hiyo ilikuwa inaongeza bei ya kila kitu; ni bajeti hii tu ndo kodi ya petroleum haijaongezwa, wabunge wa ukawa wameingia mtini kujadili bajeti kwa sababu waliona hawana point, zaidi ya kufanya upotoshaji Kama walivyojaribu kufanya kwenye kodi ya miamala ya simu na ATM.
 
He is the one who architect the whole agenda ndio maana magu akamteua mapema kumleta mapato wakajua kawin lkn at the end VAT Zao za Bandar zikapeleka mizigo iende Beira

Sasa alipaswa kujifunza na hilo la bandari
sasa kaongeza kodi kila eneo......hajifunzi kitu huyu naona
 
Bajeti zilizopita zote zilikuwa zinaongeza kodi ya petroleum na hiyo ilikuwa inaongeza bei ya kila kitu; ni bajeti hii tu ndo kodi ya petroleum haijaongezwa, wabunge wa ukawa wameingia mtini kujadili bajeti kwa sababu waliona hawana point, zaidi ya kufanya upotoshaji Kama walivyojaribu kufanya kwenye kodi ya miamala ya simu na ATM.
Hv unajua hali ya uchumi wa mafuta duniani kwa sasa na hali ya uchumi wa tanzania kwa sasa???
 
Back
Top Bottom