Pharmacy sells system

Pharmacy sells system

AMAN32

Senior Member
Joined
Feb 6, 2013
Posts
110
Reaction score
55
Habari wanajamii Mimi ni mwanafunzi katika chuo flan hapa dar es salaam Nimetengeneza software kwa ajili ya duka LA dawa,hii itakusaidia yafuatayo
Kama kunadawa ndani ya duka zinakaribia kuisha muda wa matumizi Itakupa taarifa.
Kuweza kuelewa thamani halisi ya dawa ulizo nazo ndani ya duka.

Kama una maduka mawili au zaidi. unaweza kupata taarifa za maduka yote ukiwa sehem moja.

Kufahamu kama Duka lako unaliendesha kwa faida au hasara
Ni Pm kama unahitaji
 
Chuo gani hicho mwanafunzi awe na uwezo mkubwa kiasi hicho tena kipindi anasoma.
Hongera!
 
Back
Top Bottom