Pharmacist, fundi dawa, wanahitajika

Pharmacist, fundi dawa, wanahitajika

salimkabora

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,441
Reaction score
653
Wataalamu tajwa wanahitajika kwa ajili ya huduma kwenye duka jipya la dawa hapa Dar. Mwenye kuhitaji au taarifa kuhusu wahitaji tafadhali ani pm
 
wapo sema wa elimu gani unao wahitaji na malipo yako yakoje... Dar sehemu gani kilipo kituo cha kazi...
 
Waliosomea Phamarcy hiki ndo kipindi chao cha kuneemeka,Walinge wao awamu hii
 
Waliosoma hii kitu wamekua wakila pesa kimya kimya ukilinganisha wenzao wa MD na wengineo

Andaa 1 hadi 1.5 kwa ajili ya mfamasia kusimamia famasi yako
 
Waliosoma hii kitu wamekua wakila pesa kimya kimya ukilinganisha wenzao wa MD na wengineo

Andaa 1 hadi 1.5 kwa ajili ya mfamasia kusimamia famasi yako
Wewe bado inaonekana hujamaliza shule uingie mtaani na cheti chako cha pharmacy !... Hizi sio zama zile za kikwete unaweza ukacheza na cheti kama unavyotaka ! Maliza kwanza !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe bado inaonekana hujamaliza shule uingie mtaani na cheti chako cha pharmacy !... Hizi sio zama zile za kikwete unaweza ukacheza na cheti kama unavyotaka ! Maliza kwanza !

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani vyuo haviko mtaani? Niko mtaani way back na kijiwe kiko mtaani...

Matakwa ya sheria ya famasi ni mfamasia kusimamia famasi,hapo kucheza na cheti ndio nini sasa?
 
Back
Top Bottom