Pharmaceutical Technician mstaafu anahitajika

Aljazera

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2015
Posts
637
Reaction score
224
Wakuu tunahitaji Mstaafu yeyote mwenye Diploma au Certificate ya Pharmacy aliesajiliwa na Baraza la Famasi na awe tayari kufanya kazi katika Wilaya zifuatazo Mkoani Mwanza.
Magu, Misungwi au Kwimba au kama wewe una sifa hizo hapo juu na uko katika sehemu tajwa ni PM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…